Naomba mtu anieleweshe taratibu kabisa, naonaga mara fulani kafungiwa adiingie Marekani, mara fulani Ulaya n.k. Hivi, kwa kufungiwa kwenda huko mtu anakuwa amepoteza kitu gani kikubwa? Je, hawa watu hawawezi kufurahia maisha mpaka waende hizo nchi?
Nimefuatilia kiasi siasa za Mh. Katambi, namuona ni mwanasiasa anayependa sana kutumia ubabe kwenye mambo yake. Nadhani walio karibu nae wamsaidie kumshauri abadili mfumo wa siasa zake kwani ye ni kijana na ana safari ndefu kwenye siasa. Unapokuwa kiongozi unakuwa umepewa dhamana ya kuwa mbele...
Soka la Tanzania bwana, yaani TFF na Simba ni kitu kimoja, maskini Yanga pamoja na usajiri mzuri, anacheza vizuri lakini mwishowe simba watapewa penati na upendeleo wa kila aina tena wa waziwazi kabisa mpaka achukue ndoo.
Hii wiki inaweza kuwa na mambo makubwa sana hapa nchini kwetu sio bure. Kule baadhi ya wanachama wanataka kufanya mapinduzi na huku kwingine kombe limeibiwa. Muda ni mwalimu mzuri, tumpe nafasi.
Je, unatafuta maharage safi yenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani au biashara?
Tunauza maharage bora kwa bei nzuri ya TSh 2,800 kwa kilo, kwa ununuzi wa kuanzia kilo 20 na kuendelea. Kwa sasa tuna maharage ya njano na soya, lakini ukitaka rose coco na mengine tunaweza kukuletea...
Kote nimesharudi lakini hakukuwa na suluhisho la kudumu. Sehemu pekee ambayo natakiwa kurudi baada ya wiki 2 zijazo ni Ben Mkapa Dom. Nimebeba ushauri wako, najipanga kuona namna naweza ufanyia kazi.
U
Umenipa mawazo mazuri, ngoja nijaribu kutafuta hospitali ambayo inaweza kuwa na tiba hizo India ili angalau nipate bajeti nione naweza kufanya nini. Maana tumekuwa tukiishi kwa mateso makubwa sana.
Kiukweli bado kama nchi tunahitaji kuwekeza sana kwenye huduma za afya. Na uwekezaji huo husijikite kwenye vifaa tu, ata kwenye uwezo wa wahudumu wa sekta hii. Changamoto nayopitia imenifumbua mambo mengi sana ambayo yanahitaji maboresho makubwa kwenye sekta yetu ya afya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.