Recent content by dmketo

  1. dmketo

    JamiiForums Tanzania Eng. Hersi: Kombe la Ngao ya Jamii 2025 limeibwa wakati tunasherehekea parade

    Hii wiki inaweza kuwa na mambo makubwa sana hapa nchini kwetu sio bure. Kule baadhi ya wanachama wanataka kufanya mapinduzi na huku kwingine kombe limeibiwa. Muda ni mwalimu mzuri, tumpe nafasi.
  2. dmketo

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Mwenyekiti wa Bodi anapinga vipi Mkutano wa Wanachama wakati hatokei upande wao?

    Tatizo haya matimu yamekuwa part n' parcel ya vyama vya siasa. Ifike sehemu wanasiasa wabaki huko kwenye siasa na mpira uachwe kwa watu wa mpira.
  3. dmketo

    JamiiForums Tanzania Maharage bora yanapatikana – Tsh. 2,800 kwa kilo (Kuanzia Kg 20), Tupo Mbezi Louis

    Je, unatafuta maharage safi yenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani au biashara? Tunauza maharage bora kwa bei nzuri ya TSh 2,800 kwa kilo, kwa ununuzi wa kuanzia kilo 20 na kuendelea. Kwa sasa tuna maharage ya njano na soya, lakini ukitaka rose coco na mengine tunaweza kukuletea...
  4. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Kote nimesharudi lakini hakukuwa na suluhisho la kudumu. Sehemu pekee ambayo natakiwa kurudi baada ya wiki 2 zijazo ni Ben Mkapa Dom. Nimebeba ushauri wako, najipanga kuona namna naweza ufanyia kazi.
  5. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Asante sana mkuu, nimepokea ushauri wako kwa unyenyekevu mkubwa.
  6. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    U Umenipa mawazo mazuri, ngoja nijaribu kutafuta hospitali ambayo inaweza kuwa na tiba hizo India ili angalau nipate bajeti nione naweza kufanya nini. Maana tumekuwa tukiishi kwa mateso makubwa sana.
  7. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Asante sana kwa ushauri, nitajaribu.
  8. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Kiukweli na icho ndicho kinachonipa mawazo, sababu nimeshatibiwa kwenye hospitali kubwa tupu na sijapata suluhisho, sasa nawaza nafanyaje tena.
  9. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Kiukweli bado kama nchi tunahitaji kuwekeza sana kwenye huduma za afya. Na uwekezaji huo husijikite kwenye vifaa tu, ata kwenye uwezo wa wahudumu wa sekta hii. Changamoto nayopitia imenifumbua mambo mengi sana ambayo yanahitaji maboresho makubwa kwenye sekta yetu ya afya.
  10. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Habari zenu wana JF, hususan wa jukwaa la Afya. Naomba kuwashirikisha changamoto kubwa inayomsumbua mke wangu kwa takribani miezi saba sasa, kwa matumaini ya kupata ushauri, uzoefu au mwanga kutoka kwa wenye taaluma na waliowahi kukutana na tatizo kama hili. Tatizo lilianza kwa kupata haja...
  11. dmketo

    JamiiForums Tanzania Mbunge Zainab apiga lugha tofauti Bungeni aomba atafsiri

    Hizi nchi za Africa bila janja janja huwezi kupenya, hapo unaweza kushangaa baada ya siku kadhaa analamba teuzi. Sasa wewe unaanzaje kumsifia mtu kwa lugha ambayo huenda yeye mwenyewe haijui? Si ingetosha tu kuongea kingereza? Haya bwana wameshakuona unajua lugha nyingi.
  12. dmketo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walitufuata na kutupa masharti ili Lissu aachiliwe, tumekataa kuwapigia magoti

    Kutupigania watanzania sisi? Mi nadhani Lissu anajitesa tu bure bila sababu ya msingi. Kwa siasa zetu, hulka tuliyonayo watanzania, utawala tulio nao na umri wa Lissu bora angejipigania yeye mwenyewe na familia yake tu.
Back
Top Bottom