Hii wiki inaweza kuwa na mambo makubwa sana hapa nchini kwetu sio bure. Kule baadhi ya wanachama wanataka kufanya mapinduzi na huku kwingine kombe limeibiwa. Muda ni mwalimu mzuri, tumpe nafasi.
Je, unatafuta maharage safi yenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani au biashara?
Tunauza maharage bora kwa bei nzuri ya TSh 2,800 kwa kilo, kwa ununuzi wa kuanzia kilo 20 na kuendelea. Kwa sasa tuna maharage ya njano na soya, lakini ukitaka rose coco na mengine tunaweza kukuletea...
Kote nimesharudi lakini hakukuwa na suluhisho la kudumu. Sehemu pekee ambayo natakiwa kurudi baada ya wiki 2 zijazo ni Ben Mkapa Dom. Nimebeba ushauri wako, najipanga kuona namna naweza ufanyia kazi.
U
Umenipa mawazo mazuri, ngoja nijaribu kutafuta hospitali ambayo inaweza kuwa na tiba hizo India ili angalau nipate bajeti nione naweza kufanya nini. Maana tumekuwa tukiishi kwa mateso makubwa sana.
Kiukweli bado kama nchi tunahitaji kuwekeza sana kwenye huduma za afya. Na uwekezaji huo husijikite kwenye vifaa tu, ata kwenye uwezo wa wahudumu wa sekta hii. Changamoto nayopitia imenifumbua mambo mengi sana ambayo yanahitaji maboresho makubwa kwenye sekta yetu ya afya.
Habari zenu wana JF, hususan wa jukwaa la Afya.
Naomba kuwashirikisha changamoto kubwa inayomsumbua mke wangu kwa takribani miezi saba sasa, kwa matumaini ya kupata ushauri, uzoefu au mwanga kutoka kwa wenye taaluma na waliowahi kukutana na tatizo kama hili.
Tatizo lilianza kwa kupata haja...
Hizi nchi za Africa bila janja janja huwezi kupenya, hapo unaweza kushangaa baada ya siku kadhaa analamba teuzi. Sasa wewe unaanzaje kumsifia mtu kwa lugha ambayo huenda yeye mwenyewe haijui? Si ingetosha tu kuongea kingereza? Haya bwana wameshakuona unajua lugha nyingi.
Kutupigania watanzania sisi? Mi nadhani Lissu anajitesa tu bure bila sababu ya msingi. Kwa siasa zetu, hulka tuliyonayo watanzania, utawala tulio nao na umri wa Lissu bora angejipigania yeye mwenyewe na familia yake tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.