Recent content by dmketo

  1. dmketo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Naomba mtu anieleweshe taratibu kabisa, naonaga mara fulani kafungiwa adiingie Marekani, mara fulani Ulaya n.k. Hivi, kwa kufungiwa kwenda huko mtu anakuwa amepoteza kitu gani kikubwa? Je, hawa watu hawawezi kufurahia maisha mpaka waende hizo nchi?
  2. dmketo

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Nimefuatilia kiasi siasa za Mh. Katambi, namuona ni mwanasiasa anayependa sana kutumia ubabe kwenye mambo yake. Nadhani walio karibu nae wamsaidie kumshauri abadili mfumo wa siasa zake kwani ye ni kijana na ana safari ndefu kwenye siasa. Unapokuwa kiongozi unakuwa umepewa dhamana ya kuwa mbele...
  3. dmketo

    JamiiForums Tanzania Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Soka letu, kivyetu vyetu
  4. dmketo

    JamiiForums Tanzania Wazee mnaonaje Katuga anavyogongwa na NGULI kwenye vijiswali vyake?

    Soka la Tanzania bwana, yaani TFF na Simba ni kitu kimoja, maskini Yanga pamoja na usajiri mzuri, anacheza vizuri lakini mwishowe simba watapewa penati na upendeleo wa kila aina tena wa waziwazi kabisa mpaka achukue ndoo.
  5. dmketo

    JamiiForums Tanzania Eng. Hersi: Kombe la Ngao ya Jamii 2025 limeibwa wakati tunasherehekea parade

    Hii wiki inaweza kuwa na mambo makubwa sana hapa nchini kwetu sio bure. Kule baadhi ya wanachama wanataka kufanya mapinduzi na huku kwingine kombe limeibiwa. Muda ni mwalimu mzuri, tumpe nafasi.
  6. dmketo

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Mwenyekiti wa Bodi anapinga vipi Mkutano wa Wanachama wakati hatokei upande wao?

    Tatizo haya matimu yamekuwa part n' parcel ya vyama vya siasa. Ifike sehemu wanasiasa wabaki huko kwenye siasa na mpira uachwe kwa watu wa mpira.
  7. dmketo

    JamiiForums Tanzania Maharage bora yanapatikana – Tsh. 2,800 kwa kilo (Kuanzia Kg 20), Tupo Mbezi Louis

    Je, unatafuta maharage safi yenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani au biashara? Tunauza maharage bora kwa bei nzuri ya TSh 2,800 kwa kilo, kwa ununuzi wa kuanzia kilo 20 na kuendelea. Kwa sasa tuna maharage ya njano na soya, lakini ukitaka rose coco na mengine tunaweza kukuletea...
  8. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Kote nimesharudi lakini hakukuwa na suluhisho la kudumu. Sehemu pekee ambayo natakiwa kurudi baada ya wiki 2 zijazo ni Ben Mkapa Dom. Nimebeba ushauri wako, najipanga kuona namna naweza ufanyia kazi.
  9. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Asante sana mkuu, nimepokea ushauri wako kwa unyenyekevu mkubwa.
  10. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    U Umenipa mawazo mazuri, ngoja nijaribu kutafuta hospitali ambayo inaweza kuwa na tiba hizo India ili angalau nipate bajeti nione naweza kufanya nini. Maana tumekuwa tukiishi kwa mateso makubwa sana.
  11. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Asante sana kwa ushauri, nitajaribu.
  12. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Kiukweli na icho ndicho kinachonipa mawazo, sababu nimeshatibiwa kwenye hospitali kubwa tupu na sijapata suluhisho, sasa nawaza nafanyaje tena.
  13. dmketo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Kiukweli bado kama nchi tunahitaji kuwekeza sana kwenye huduma za afya. Na uwekezaji huo husijikite kwenye vifaa tu, ata kwenye uwezo wa wahudumu wa sekta hii. Changamoto nayopitia imenifumbua mambo mengi sana ambayo yanahitaji maboresho makubwa kwenye sekta yetu ya afya.
Back
Top Bottom