Hizi nchi za Africa bila janja janja huwezi kupenya, hapo unaweza kushangaa baada ya siku kadhaa analamba teuzi. Sasa wewe unaanzaje kumsifia mtu kwa lugha ambayo huenda yeye mwenyewe haijui? Si ingetosha tu kuongea kingereza? Haya bwana wameshakuona unajua lugha nyingi.
Kutupigania watanzania sisi? Mi nadhani Lissu anajitesa tu bure bila sababu ya msingi. Kwa siasa zetu, hulka tuliyonayo watanzania, utawala tulio nao na umri wa Lissu bora angejipigania yeye mwenyewe na familia yake tu.
Asante sana ndugu. Kiukweli ni bora angekuwa na hati, lakini ana hati anasema ana karatasi tu ya mumewe kununua miaka 40 iliyopita. Tukajiuliza mtu aliweka jiwe miaka 40 iliyopita ambapo lilikuwa pori, leo yametapakaa majumba na anasema aliliona ilo jiwe lipo? Imetushangaza kweli hii.
Habari ndugu zangu. Kuna ndugu yangu ana nyumba huko Mbezi Msakuzi. Leo wameitwa na mwenyekiti wa mtaa na kuelezwa kuna mtu amekwenda ofisini kwake akamueleza anaomba ampatie barua ya kufufua mipaka ya eneo lake.
Kwa maelezo ya mwenyekiti, mama huyo anadai mumewe alinunua eneo mwaka 1989 na ana...
Ndio shida yetu vijana, tunaaminiwa, tunapendwa na tunapewa madaraka. Badala ya kufanya mambo ambayo yataonesha uwezo wetu mpaka kuzipa sifa mamlaka zetu za uteuzi, tunaanza kufanya utoto ambao unaishia kuzipa wakati mgumu mamlaka za teuzi zetu. Kwani Mh. angetembea tu na namba za kawaida kwenye...
Jamani eeh, kwani ninyi mlitaka msajiri afanyaje? Unapata wapi ujasiri wa kukuengua Mh. Rais? Wewe unayepinga jaribu kuvaa viatu vya msajiri. Haya mambo yanawezekana huko kwingine ila sio kwa Africa. Demokrasia sio tunda la wa-Africa, sisi tuna namna yetu ya kiutawala huko kwingine tupo kwa...
Hiki ni moja ya kitabu chenye story nzuri kweli kweli. Ukiangalia upepelezi wa mauaji ya Kalistus ulivyofanyika, jinsi Bwana Pima alivyothibitika ndiye aliyenunua dawa zilizoibiwa, ukiangalia kisa cha Father Denis Moyo alivyoponea chupuchupu kufanywa teja. Moja ya vitabu vyangu bora kabisa...
Ukifuatilia mapokeo ya hii dhana ya NRNE, unagundua nchi yetu ina changamoto kubwa ya uelewa wa mambo. Inawezekana pamoja na sababu kadhaa kiwango chetu cha uelewa wa mambo na kufanya maamuzi sahihi ni miongoni mwa sababu zinazotufanya tuendelee kuwa maskini.
Hawa wapuuzi CHADEMA wametuletea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.