Recent content by dmkasanga

  1. D

    Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

    Tatizo ni kwamba hafuati muda wa kupata milo kwa utaratibu kiasi cha tumbo lake kipindi kingine kujaa gesi hivyo mshauri ajiwekee muda maalum wa kunywa chai asubuhi chakula cha mchana na chakula cha jioni, anywe maji ya kutosha pia ale kiasi na jioni apate chakula laini!
  2. D

    Waziri ananitaka kimapenzi

    Uhame nchi kwa ajili ya mtu asiye na maadili tuambie sisi tumuanike hadharani huyo ni mgonjwa! yawezekana mkewe anatembelea daladala!
  3. D

    Ni mikoa gani hapa bongo inaongoza kutoa totoz za ukweli?

    Nadhani Mwanza inapaswa kuwa ya kwanza ukizingatia vigezo!
  4. D

    Bunge lapitisha bajeti ya mahakama Kadhi

    Hivi ni kweli au unajock?
  5. D

    Hatari! Mtoto kabakwa ndani ya daladala

    Nadhani Dr. Silaha ni Mzalendo tu! kiasi ambacho sote tunapaswa kuwa! Hii ni nchi yetu wenyewe ambayo mwenyezi Mungu ametujalia kuzaliwa kwayo hivyo hatunabudi kwanza kujiendeleza kielimu ili tuweze kuijenga nchi yetu wenyewe kwa kutumia maliasili tuliojaliwa na Mwenzi Mungu. "Human Resource...
  6. D

    Hatari! Mtoto kabakwa ndani ya daladala

    Ni jambo la kusikitisha na kustaajabisha sana! sijui jamii hii inaelekea wapi maana hata wanyama wasio na akili wala utashi hawatendi hivyo! nadhani ni muda muafaka wakuweka maombi maalum kwa ajili ya jamii nzima ili iweze kumrudia Mwenyezi Mungu ipate kumpenda, kumtii na kumtumikia hizi zote ni...
Back
Top Bottom