Recent content by DM Me

  1. DM Me

    Dada una sura nzurii.....

    Ngoja namimi nikusifie, maana ushasema angekuwa mkaka ungempa namba yako ya simu... We mdada unangozi nzuri, shingo ya kuvalia cheni, tabasam maashallah.. kweli Mungu kakuumba
  2. DM Me

    Mtwara: Taharuki Tandahimba baada ya madai ya mtoto mchanga kutabiri mvua ya ajabu; wakesha wakinywa uji wa Muhogo

    Nimepigiwa simu saa 10 alfajir nikapewa hizo taarifa. Nikajaribu kulazimisha akili yangu kuamini ila haya maswali yakawa yananipa mashaka! 1. Ushahidi kuhusu huyo mtoto uko wapi? Kazaliwa hospital gan n.k 2. Kifo kapanga Mungu na hatofikiwa mja na umauti mpaka ifike siku yake hivyo hao wadudu...
  3. DM Me

    Wanaume kwanini hamjui kutupapasa bali mnatufinyafinya wakat wa maandalizi ya sex na mikono yenu migumu

    Kumbe wanawake ndo wanaweza kukushishika na kuzama chumvini vizuri sio? Alafu ninimashaka na jinsia yako mkuu, Kuna siku ulileta uzi wa kulaumu wanawake na uliandika kama vile wewe ni mwanaume..
  4. DM Me

    Licha ya kazi nzuri na maisha mazuri waliyonayo dada zangu wa tumbo moja mbona hawaolewi? Nifanyeje waolewe?

    Nipe namba za huyo wa Uhamiaji, nashida ya kwenda nje naeza fanya nae dili ili aongeze pesa usimulie zaid maisha yake mazuri -Ila hatujui wewe maisha yako yakoje na vp ushaoa?
  5. DM Me

    Wanaume acheni tabia ya kusema tunatoa harufu sehemu za siri, baadhi yenu mna shahawa zenye harufu kali

    Kuna mtu hapa anasema, hasira zako zinatokana na kukuchana live kwamba unanuka K
  6. DM Me

    Ufafanuzi kuhusu kisomo cha 40 baada ya mtu kuzikwa

    First mimi ni Muislam, then ktk mazishi ya Marhum baba yangu mzazi niliingia kaburin kama ambavyo unasema masheikh wanaingia hakuna alieingia na kisu,nyembe hata sindano istoshe waliniambia nivue na saa maana ilikuwa ya chuma huenda ingekatika ikaangukia humo, so suala la kukata nyama shortly...
  7. DM Me

    Wanaume wengi wa JF na facebook ni wachovu tofauti na wanaume wa mitandao mingine

    Njoo uchukue kwangu, nshapokea hela za korosho
  8. DM Me

    Nisaidieni kutegua hiki kitendawili

    Mkuu ndoa za siku hizi kama kubet tuu, wakikushauri sana watakuchania mkeka muoe unaempenda na mwenye mapenzi na familia yako
  9. DM Me

    Tanga kwetu raha

    Aisee mgosi, naona umesahau ule ufundi wetu wa kutengenezeana Mabusha na kulazana mibuyuni
  10. DM Me

    We mwanaume unikome!

    Ivi alikutongozea hapa jukwaani? au povu ni return ya kujifariji baada kuliwa bure kila siku.. #YaishieHapaHapa
  11. DM Me

    Mfungwa wa Maisha Papii Kocha atuma ujumbe kwa Rais Magufuli

    Mbona kama goli la kona hili?
Back
Top Bottom