Jamani nashukuru kwa kuisikia kero hii hapa kwenye mtandao wa Kijamii wa Jamii Forums sasa nitafuatilia na ninaahidi kutoa majibu ya Jambo hili kwa umma mara baada ya kufuatilia na kimsingi tatizo litapata ufumbuzi kabla ya siku ya mwisho kuisha ya kutuma hayo maombi ya Mkopo kwa njia ya Mtandao...
Ndugu zangu watanzania napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wamiliki wa "Jamii Forums" kwa jinsi walivyoona fursa ya kutuletea mtandao ambao tunautumia kuwasiliana, kubadilishana mawazo na kutoa mawazo mbalimbali kwa ajili ya maslahi ya jamii yetu na taifa la Tanzania kwa ujumla.
Ninashauri...
Chama kina utaratibu wa kukua na kubadilisha mifumo yake inayotumika katika kujiendesha lakini kwa sasa pamoja na kele zote hizi za upinzani bado CCM ni imara labda huko baadae.
Jamani tusishindane sana hapa kwa sababu upinzani sio kupinga kila kitu. Mtu akienda mahali kwa shughuli zake mwenyewe sio tatizo ilimradi tu kule alikoenda asije akafanya mambo ambayo yanaweza kulidhalilisha taifa letu. Pili Kuiba kura Kenya ni vigumu kwa sababu wakenya wapo macho kama...
Mimi ninamuamini sana anayeweka matangazo kwenye blogu yetu kwani anafahamu kiingereza kwa usahihi Mkubwa labda tu uhariri wa habari kabla ya kuchapisha ni jambo la msingi naomba utuvumilie tutajirekebisha.
Asante Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.