Kwa wale wanaotaka kuja Msanzi Kalambo, ni barabarani kuna kilimo na ufugaji wananchi wako vizuri watumishi wametoka kimaisha hapa na wamejenga asilimia 89% Mimi nije Sumbawanga manispaa hata kama upo shule za pembezoni nitafute kwa no. 0627472757
Kuna jamaa yangu alimaliza course work muda mrefu akafanya research yake yaani dissertation akakusanya lakini sasa ni mwaka wa tano hajagraduate masters yake, hii inanipa wasiwasi chuo hiki kikawa na usumbufu kama vyuo tulivyovizoea. Naomba unihakikishie ili ninapoanza nisije jutia maamuzi yangu...
Naona umeshindwa kutumia elimu uliyoipata kutatua changamoto yako, tumia taaluna yako kufanikisha malengo yako Acha kutumia nguvu.
Mbinu ulizotumia kwenda kuongeza ujuzi wa kitaaluma ukusaidie pia kuouhamisha ama kutengeneza mazingira mazuri ya kukaa na familia yako.
Sent using Jamii Forums...
Ndugu YANGU nakubaliana na wewe umewaza vizuri, Jambo lingine ili uweze kutambua elimu ya UDOM kasome pale au mdogo wako asome pale utapata la kusema Kwa jamii
Sent using Jamii Forums mobile app
UDOM ni chuo bora Kwa facilities za college of informatics lakini ni college complicated hakuna bata watu wanadisco wakifika hata Mwaka wa nne lakini juu ya ma lecture wetu katika college hiyo siyo zao la UDSM wengi ni Drs. From India.
Kasome hapo Havard of Africa and The big University East and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.