Mfano Chumba cha 30,000 ikatwe 3,000 ibaki 27,000. Duh, sasa wapangaji watakuwa mabosi kuwakata wenye nyumba hela.
Ila ili ibaki hela anayotaka mwenye nyumba, itabidi kodi zipande mpaka 33,500.
Tutaelewana tu, mwenye nyumba hatakubali apate pungufu na kiwango alichopanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.