Recent content by djzmpr70

  1. djzmpr70

    Brazil yakamilisha SGR yake kwa Miaka 30, nchi masikini ya Tanzania inajitutumua kukamilish Kwa miaka 15

    Elewa kuwa B?azil ni moja ya nchi maskini ,sio tajiri kama unavyofikiri.
  2. djzmpr70

    Nahisi kupigwa mtoto, naomba kujua utaratibu wa DNA

    Hapo hata mwenyewe unaweza usiwe mtoto wa baba yako. Tulia lea mtoto
  3. djzmpr70

    Nahisi kupigwa mtoto, naomba kujua utaratibu wa DNA

    Mku, ulitaka ufanane naye kama hela?
  4. djzmpr70

    Dar es Salaam City in Photos

    Ziwekwe na picha za Uswahilini pia.
  5. djzmpr70

    Bei ya Mchele imepaa

    Wadau leo mchele umefika 3,000 kwa kilo, tunaelekea wapi?
  6. djzmpr70

    Internet ya bure imeharibu betri ya simu yangu

    Hakuna cha free internet hapo.. bila kuwa na local network huwezi kuacces hizo servers, kwa ufahamu kwamba internet sio bure
  7. djzmpr70

    Ngoma Inogile: Wapangaji sasa kulipa asilimia 10 ya kodi TRA

    Ile ni kodi ya jengo. Na basically jengo linahusisha hata vyumba vya wapangaji.
  8. djzmpr70

    Ngoma Inogile: Wapangaji sasa kulipa asilimia 10 ya kodi TRA

    Makubaliano yapo wazi, aailimia kadhaa zitaongezeka kwenye kodi ili mwwnye nyumba apate kodi aliyoipanga.
  9. djzmpr70

    Ngoma Inogile: Wapangaji sasa kulipa asilimia 10 ya kodi TRA

    Mfano Chumba cha 30,000 ikatwe 3,000 ibaki 27,000. Duh, sasa wapangaji watakuwa mabosi kuwakata wenye nyumba hela. Ila ili ibaki hela anayotaka mwenye nyumba, itabidi kodi zipande mpaka 33,500. Tutaelewana tu, mwenye nyumba hatakubali apate pungufu na kiwango alichopanga.
  10. djzmpr70

    Siku ya MASHUJAA ISIWE LEO

    Unataka iwe lini
  11. djzmpr70

    Nawezaje kutengeneza kipato kupitia akaunti ya Instagram?

    Swali la kutokujua, nawezaje kutengeneza pesa kupitia account ya Instagram, maana nimemsikia Mwijaku leo anasema kwa wiki anatengeneza Tsh 6.5mil
Back
Top Bottom