Usifikiri kila mtu anawazia tumbo kama ulivyo wewe, mimi nafanya kazi ya siasa nchini... ndio maana utasikia niko Iramba, Mpwapwa,Gairo,Ifakara, Dar es Salaam na kwingineko, Singida kaskazini peke yake hakuwezi kuikomboa nchi yetu tunahitaji ukombozi wa nchi nzima.. na haya yote nafanya kwa...