Just imagine ndo umetoka kulipia muda si mrefu ili hapo baadae umwangalie C7 na Sanchez afu unajulishwa kuwa TV1 imekwishaondolewa kwenye king'amuzi cha Azam
Tunaomba chaneli mbadala ya TV1.Ikumbukwe kuwa Tv1 ilikua inyaonesha mashindano ya FIFA confideration Cup lkn kwa sasa hii chaneli haipo kwenye king'amuzi cha Azam na leo ni nusu fainali ya kwanza SAA tatu kamili Portugal vs Chile.
Mwandishi maarufu nchini Tanzania Jerry murro amesema Zitto kabwe hafai kuwa rais wa TFF kwasababu ni mbinafsi na mtu wa kimaslahi zaidi.Jerry ameyasema hayo ktk Kipindi za 360 kinachorushwa na clouds TV. Sanjari na hilo Jerry amesema jimbo la ubongo linaitaji kiongozi mwenye vision ili...
Hata Mimi miaka kadhaa iliyopita ,boss wetu was samrt sana,yaan he didn't believe ktka vyeti, alimini what do u have yaan unawezo gani,creative gani ktk kazi.
Sera ya clouds media ni kwamba wanaajira watu wenye vipaji na ujuzi wa hali ya juu ,na sio kuangalia vyeti vyenye GPA nzuri.na kwel wanatangazaji wengi wa clouds media sio professional ila wana vipaji tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.