Yeye si ametususa sawa tutaona 2015 sijui atapita barabara gani, sisi ni watu wa mageuzi na action..tumejichangisha wenyewe 10,000 kwa kila mtu, na huku kuna vichwa kama 700 hivi na tumetengeneza sehemu zote hatarishi now barabara inapitika, nilikuwa nataka aone Jinsi gani sisi tunauwezo wa...