Recent content by Diz26

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nikaribisheni kwa kunipa kazi

    Nenda mahakama ya buguruni kugongewa muhuri 5000 vyote
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kupangiwa usaili wa mchujo na mahojiano

    Ukishafanya written ndio itatoa majibu kama utafanya oral au laah
  3. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi nina tatizo la kupenda kufanya mapenzi nahitaji njia ya kuacha ama kupunguza

    Kila kukicha yukio jipya anyways
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu ananiomba sana hela. Kwa hali hii nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine

    Mm pia natumia hiyo nauli kwahiyo usiseme kazi gn it depends unakaa wapi unakuta mtu unapanda bajaji mbili mpaka kufika job but alichozingua dada mwenzetu ni kuomba nauli ya kazini wakati hua inakua kwenye budget ya mshahara
  5. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimempa mwanamke wangu mchongo wa kuingiza elfu 50 kila siku na bado ananiomba hela za matumizi

    Niconnectie mm sitokuomba hela ya gas
  6. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

    kwa hizo sms 😀😀😀😀😃😃kuna kitu hakiko sawa ww ndio unajiita baba kijacho bila kuambiwa😀😀😃
  7. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wastani wa miaka 25 hadi 29 bado ni Bikira

    Inawezekana watu hawafanani kuna waliotoa na miaka 10 na wapo waliotoa kwenye ndoa zao na miaka 25+usikariri WADA wengine wana msimamo.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Azam TV badilisheni muda wa kuonesha Tamthilia ya ECILIA (SINOS DEJAN)

    Akaangalie habari
  9. D

    JamiiForums Tanzania Azam TV badilisheni muda wa kuonesha Tamthilia ya ECILIA (SINOS DEJAN)

    Na wameandika kuanzia miaka 13 unajua una mtoto hajafikisha hivyo toa
  10. D

    JamiiForums Tanzania Azam TV badilisheni muda wa kuonesha Tamthilia ya ECILIA (SINOS DEJAN)

    Kwani lazima muangalie kuna channel nyingine kama sinema zetu,cheka plus na nyingine angalieni tuacheni sisi tuangalie muda huo😀😀
  11. D

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tsh. Milioni 1.3, naomba ushauri wa aina ya biashara ninayoweza kufanya

    Duka la nafaka, mfano umeagiza nafaka kilo 100 ukija kupiga hesabu unapima ulipo unajua uliouzw ani kiasi flani na bei kiasi flani na hata mafuta lita zinajulikana inshort vitu vya duka la mangi vinakuja kwa idadi na control ni rahisi hata kama hayupo
  12. D

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tsh. Milioni 1.3, naomba ushauri wa aina ya biashara ninayoweza kufanya

    Duka la mangi hata kama ukimuweka mtu kuibiwa utajua tofauti na hizo biashara nyingine
  13. D

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kutengeneza akaunti ya ARIS naulizwa registration number

    Huwezi weka ya kwenye mitihani maana hujafanya mtihani wowote wa chuo hapo unaweka namba iliyoko kwenye admission letter hlf unatengeneza password unaingia kufanya malipo na vingine vinavyohitajika
  14. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni Ushauri Wenu hizi Ndala Nizivae au Nimrudishie?

    Kwani ni kweli zimechakaa?
  15. D

    JamiiForums Tanzania EX wa Dkt. Mwaka azidi kuwaacha watu midomo wazi

    Hilo ni tangazo tu .
Back
Top Bottom