Wakuu habari zenu,Naomba kuuliza ipi course ya kilimo yenye maslahi zaidi ya kusoma degree kati ya hizi :
1 . Agriculture extension
2 . Horticulture
3 . General agriculture
Naombeni michango yenu kwani nipo njia panda, nilichaguliwa agriculture extension mwaka jana nikahairisha,mwaka huu nawaza...
Kwenye swala la dini ndio pagumu, kubadili dini kwa ajili ya mke au mme mmmh sio mchezo, kwa upande wangu nmeshindwa niliwahi kuvunja mahusiano yaliyokomaa sababu ya dini
Mi sijaelewa kitu, je ni halmashauri zote au ni huko nsimbo pekeake (katavi) Sababu waraka unaosambazwa ni wa nsimbo, inawezekana ni maamuzi ya halmashauri yao tu au ni agizo kutoka ngazi za juu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.