Daaaah mkuuu uko kama mm nina wawili sielewiii naoa yupi naachaa yupiii ilaaa mm kuna mmoja naona familia yao sio kubwa kvle kwa hyo nimepgaa calculations za future nisije nikawa na unecessary extended family ya kusomesha watoto wa wakwe,
Wakuu polen na majukumu
Mm ni mdau nina mademu wawili.wote wako good kila secta na wote wacha Mungu,changamoto ninayoipata ni kwamba nimeanza kuwaza swala la kuoaa ttzo linakuja naona wote ni wife content yaan they all deserve to be treated equally sijiskii kumuumiza yoyote wote wanastaill sasa...
Mkuu mm naombaa kuulizaa hv hzi kazi tunazoomba online huwa wanaconsider maombi ya watu na kuwaitaa kwa interview kwelii?au ni kwa watu wanaopelekaa maombi physicaly tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.