Hawa jamaa bana Kwa hiyo kufundisha watu elimu ya uraia na kuwaamsha wanapoonewa ni vibaya. Mnabaki kupinga tu?! Kwani wapi wamefanya vibaya wanaandika proposals nzuri , wanaelezea watafanya nini .
Kwani wananchi hawajatekwa?
Wananchi hawajauwawa?
Wananchi hawaundiwa tume feki ya uchaguzi eti...
Eti wamuache huyu wa wapi waje wakose faida zao, Wana roho ngumu za kishetani na ndiyo wanafuata vizuri maelekezo ya kitabu cha THE PRINCE cha NICOLLO MACHIAVELLI
Kikosi cha kukomesha mpaka wakome kabisa kikapita naye hakuna cha majini wazuri wala maruhani. Life is spiritual shetani anamchekea huko anakowaka moto mkali kuzimu.
Utamu wa pesa za kulipwa bungeni unawasababisha warudi tena na tena. Hawatutendei haki nchi kama nchi tunahitaji wabunge wanaoenda kutuwakilisha wananchi sio hao wa kushibisha matumbo yao na familia zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.