Recent content by Ditram Mgimba

  1. Ditram Mgimba

    Niende PCM au PCB ?

    Nenda PCB,,,, Dogo,,,,, yan magoli uko,,,,,pcm nenda kama una ndugu yako wa kukuunhanisha,, vngonevyo utasota,,,,,, au kama una ndoto ya ualim poa, ndo upge pcm coz iyo comb ualim ndo fasta
  2. Ditram Mgimba

    Chuo cha UDOM ni majanga

    Hatareeeee saana iyo
  3. Ditram Mgimba

    UDSM tupunguzeni masifa sasa

    Hahaha,,,,,,, mtajuaje kua wanasoma ud !!!!! Ila degree n ileile,,, hats wa udism,, aspo komaa atakua chenga kama vyenga vingine,,,,,
  4. Ditram Mgimba

    SUA mtatuua, mbona hamtupi boom?

    St john apa tumesain wik moja naw, kila xku wanaxema tuhakk taarfa,,,,,,, duuuu tutakufaaa
  5. Ditram Mgimba

    Msaada waungwana,hata wa kimawazo.

    M namshaurr aende kwenye mashirika kama mission za makanisa ajieleze watamxaidia,,,n her mtembea bure kulko mkaa bureeee
  6. Ditram Mgimba

    Hongera Rais Dr Magufuli kwa mikopo vyuoni

    Watu hawajui hatma zaoo uk af we unasemaj
  7. Ditram Mgimba

    firefox app

    Habari wakuu!! Kama Bado Hujajua Kuhusu Loan allocation yako install firefox app zen itumie kuangalia vitu mbalimbali iko vizuri sanaaaa!!!!
  8. Ditram Mgimba

    Waalimu,Stress zenu msimalizie hasira watoto watu.

    kuna kiwango cha kuazbu mwanafunz alokoxea,,,, ikizhd, ata haiingii akilin,, kuna walim n vchaa kwa kwel, hasira za nyumban kwao na wake au waume zao wanazmalizia kwa wanafunz,, mwalimu lazma ajitambue, wajibu wake n nn? kama mwanafunz kashndkana ,sunspension zpo kwa ajil ya nan?
  9. Ditram Mgimba

    Msaada kuhusu diploma ya ualim

    jaman diploma ya primary ipo,~vyuo vile vilivyokuwa vinatoa certificate ,saiv ndo vnatoa dploma ya msingi,, na hakuna certfcate, ila ndo walewale,,, mf tandala,tarime,mrutungulu, nk,, ila kwa we wa 4m six ata kama una four, si uende diploma ya secondary au za afya! au umesoma art?
  10. Ditram Mgimba

    Naomba kuondolewa ujinga kwa haya

    ntakujbu namba 1na namba 4,, nnavojua mm usipopata mkopo bum pia hupat kwa sababu bum ni sehem ya mkopo, zen mkopo unajumuisha ,tuition fee(ada eidha yote au la inategemea na %),accomodation(garama ya hostel au kod ya chumba kama umepanga),hela ya chakula,garama za stationary, nk, kwa kfup...
  11. Ditram Mgimba

    First year pita hapa inakuhusu

    2takomaa ivoivo, coz ndo maisha tuloyachagua,,,
Back
Top Bottom