Nenda PCB,,,, Dogo,,,,, yan magoli uko,,,,,pcm nenda kama una ndugu yako wa kukuunhanisha,, vngonevyo utasota,,,,,, au kama una ndoto ya ualim poa, ndo upge pcm coz iyo comb ualim ndo fasta
kuna kiwango cha kuazbu mwanafunz alokoxea,,,, ikizhd, ata haiingii akilin,, kuna walim n vchaa kwa kwel, hasira za nyumban kwao na wake au waume zao wanazmalizia kwa wanafunz,, mwalimu lazma ajitambue, wajibu wake n nn? kama mwanafunz kashndkana ,sunspension zpo kwa ajil ya nan?
jaman diploma ya primary ipo,~vyuo vile vilivyokuwa vinatoa certificate ,saiv ndo vnatoa dploma ya msingi,, na hakuna certfcate, ila ndo walewale,,, mf tandala,tarime,mrutungulu, nk,, ila kwa we wa 4m six ata kama una four, si uende diploma ya secondary au za afya! au umesoma art?
ntakujbu namba 1na namba 4,, nnavojua mm usipopata mkopo bum pia hupat kwa sababu bum ni sehem ya mkopo, zen mkopo unajumuisha ,tuition fee(ada eidha yote au la inategemea na %),accomodation(garama ya hostel au kod ya chumba kama umepanga),hela ya chakula,garama za stationary, nk, kwa kfup...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.