Recent content by dito64

  1. D

    Nahitaji Kijana wa kufanya kazi mapokezi kwenye ofisi yangu

    ok mkuu, ahsante kwa mrejesho.
  2. D

    Nahitaji Kijana wa kufanya kazi mapokezi kwenye ofisi yangu

    Mkuu hakuna nafasi iliyo wazi kwenye ofisi yako?
  3. D

    Kilimo cha kisasa twende pamoja nikujuze mengi kuusu hii technology..

    okntashukuru sana mkuu..natazamia kupata mrejesho kutoka kwako karibuni.
  4. D

    Kilimo cha kisasa twende pamoja nikujuze mengi kuusu hii technology..

    naomba nikutembelee mkuu hapo shambani kwa ajili ya kujifunza mawili matatu.
  5. D

    TCU-CAS msaada tafadhali

    Ingia kwenye akaunti yake,halafu nenda kwenye SELECTED PROGRAMS,ikifunguka shuka hadi chini ile sehemu wameandika 'CLEAR MY APPLICATION' clik hapo,Baada ya kuclear,log out.Then log in tena,sasa safari hii ujaze course zote tano at the same time then uzisave kwa pamoja,usiache nafasi.ukijaza...
  6. D

    Wale wapenzi wa Novel nzuri

    Rich Dad Poor Dad series by Robert T. Kiyosaki
  7. D

    Wale wapenzi wa Novel nzuri

    Think and grow rich byNapoleon Hill
  8. D

    Mafunzo ya biashara, Kahama

    Ewe mkazi wa Kahama karibu sana kwenye mafunzo haya maalumu ya kibiashara ambapo kwa hakika yatakupa mwanga wa: •Kuweza kuanzisha biashara kubwa kwa kutumia mtaji mdogo sana. Kuweza kutengeneza kipato endelevu(Passive income) kwa kutumia muda wako wa ziada TU. Jinsi utakavyoweza...
  9. D

    Fursa-Morogoro

    NEW BUSINESS OPPORTUNITY The Modern way of going into big business When it comes to investing, the best time to start was yesterday. The next best time is today. In this workshop, experienced businessmen will share with you a big investment opportunity whose benefits include:- • Going...
  10. D

    TCU call 4th Round application..!!

    Kweli kabisa mkuu,hata mimi ilo suala lilinikuta
  11. D

    BARCHELOR OF VETENARY MEDICINE [BVM] vs HUMAN MEDICINE [MD]

    tupo pamoja hapo mkuu,tutafutane mapema
  12. D

    naomba kufahamishwa bei

    Laptop ya Dell mpya na used pia yenye hizi specifications au zaidi:Ram 4gb processor iwe duo core ama zaid hdd iwe 500gb.
  13. D

    msaada wenye maelezo muhimu kuhusu st Joseph

    Mm nlifanya transfer ya kwenda st Joseph na nikafanikiw kupata..cjatumiwa chochote hadi now,km unayo nijulishe nikupe email yang unitumie mkuu
  14. D

    Mkopo Bsc Technology in Horticulture

    Mkuu upo iyo course??kw maana iyo umechaguliwa st joseph ya songea..naomba untumie barua yao iyo maelezo ya msingi ya kuhusu chuo hiko n mm nko iyoiyo course kk..ahsante
Back
Top Bottom