Kilimo cha kisasa twende pamoja nikujuze mengi kuusu hii technology..

Nataka nilime mahindi katika mkoa wa morogoro kijiji cha kisaki,mpango ni kumiliki ekari nne,nikitumia njia ya drip irigation itagarim kiasi gani ?na je kwa kilimo cha mahindi ni vyema kutumia drip irrigation?
 
Nataka nilime mahindi katika mkoa wa morogoro kijiji cha kisaki,mpango ni kumiliki ekari nne,nikitumia njia ya drip irigation itagarim kiasi gani ?na je kwa kilimo cha mahindi ni vyema kutumia drip irrigation?
Tafuta zao la ushindani ili ikulipe mkuu, kuweka dripping kwa ajili ya mahindi sidhani kama inalipa.

Anyway mtaalam atatusaidia
 
mkuu hongera sana lakini hata kama hizo drip pipe kila mmoja anauza bei yake lakini angalau utuambie wewe ulinunua bei gani tujue tunajipangaje
pia nakuomba mkuu angalau Uwe unaweka h inapohitajika
 
Tafuta zao la ushindani ili ikulipe mkuu, kuweka dripping kwa ajili ya mahindi sidhani kama inalipa.

Anyway mtaalam atatusaidia
unapo weka drip sidhani kama utakuwa unamalengo ya kulima maindi tuu...kuna mazao mengi ambayo yana ushindani kwenye soko kama nyanya, vitunguu, na kadhalika....na uwezi kuitaji drip systim bila kufanya uchunguzi wa zao unalotaka kulima..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hongera sana lakini hata kama hizo drip pipe kila mmoja anauza bei yake lakini angalau utuambie wewe ulinunua bei gani tujue tunajipangaje
pia nakuomba mkuu angalau Uwe unaweka h inapohitajika
drip line rola moja inategemea kuna maeneo wanauza mita moja 360 mpaka 500.
kwaiyo kama mita moja ni 360 basi rola ni laki tatu thelasini.
na kama mita itakua 500 basi rola moja ni lakitano.
ila ww ukiwa tayari wasiliana na mm nitakuelekeza vzr kama maelekezo bado ayajitosheleza asanthe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
drip line rola moja inategemea kuna maeneo wanauza mita moja 360 mpaka 500 kwaiyo kama mita moja ni 360 basi rola ni laki tatu thelasini.na kama mita itakua 500 basi rola moja ni lakitano....ila ww ukiwa tayari wasiliana na mm nitakuelekeza vzr kama maelekezo bado ayajitosheleza asanthe..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hekari moja zinaingia roller ngapi mkuu?
 
Nataka nilime mahindi katika mkoa wa morogoro kijiji cha kisaki,mpango ni kumiliki ekari nne,nikitumia njia ya drip irigation itagarim kiasi gani ?na je kwa kilimo cha mahindi ni vyema kutumia drip irrigation?
Pia kama unaweza kufanya instorelation ya drip systim kwenye kiwango cha shamba ulilo nalo unaweza lima maindi kisasa kabisa na ukafanikiwa kwa njia hii...unaweza uza ya kuchoma yaani maindi mabichi na ikakulipa ila lazima ufanye uchunguzi wa zao la maind mabichi kwa eneo uliopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu, kwa hiyo nikihitaji roller unauza pia? Maana nilitaka kujua kiasi ili niweze kuagiza
uwezi kuagiza kabla fundi ajakufanyia vipimo vya shamba lako Boss...ili kuagiza nilazima shamba likaguliwe na upewe ushauri, na fundi angalie mkondo wa maji upo wapi kutoka kwenye shamba lako.
na ikikamikilika anakuambia bei yake na vitu vyote ukienda dukani unachukua complite...
hapana mm siuzi ukiwa tayri we nipeleke shambani alafu mambo yote yatakuwa sawa Karibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia unaweza kutumia Drip systim yako kwa kunyeshea mbegu ulizo sia kwenye nasari kwa zao kama nyanya, kitungu.
na mazao yote ya kusia kwa yale yale matuta ulio piga kwa ajili unyeshaji wa kisasa yaani wa Drip systim....
Amna aja yakuwa masikini wakati Mungu ametupa Ardhi njema.
chakufanya wekeza kwenye kilimo wacha kubabaika na jiji Mtanzania...

Tazama picha hizi..

0e76d108a36299fac3139bbf075abc7f.jpg
a74aa5762c28b575564360ce65634c60.jpg
dab21d288f7cdd5fd645b7dd618a4f9c.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado utakwepa utumiaji wamaji kwa wingi na katka uchumi utakuwa umepoteza maji mengi sana kwa mfano kama mm na tumia liter elfu kumi kwenye heka ww utatumia liter elfu 30 na utakuwa na asara zingine kama mbolea kwa wawekaji na majani yatamea maeneo mengi ya shamba na hiyo pia inachangia upungufu wa mazao na yataota marakwa mara na kukupelekea kufanya palizi takribani tatu nikimaanisha moja yakiwa madogo na yakujazia udongo na kung'olea majani kwa kadri yatakapo kuwa nitakuonesha picha ya kilimo cha unacho taka na nacho taka ulime ukipendezwa nacho uwone tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nitoke nje ya mada kidogo, nimefuatalia hili darasa lako, lakini nimekutana na tatizo moja toka kwako. Unaoenakana una tatizo kubwa la uandishi, huna nukta wala koma. Kwa watu makini ni darasa gumu kidogo. Hebu rekebisha hayo makosa ya kiuandishi ili darasa lako liweze kueleweka. Pia angalia maneno yako kwa ajili ya hayo makosa ya kiuandishi mpaka yanakosa maana tunayopaswa kuipata.
 
Nitoke nje ya mada kidogo, nimefuatalia hili darasa lako, lakini nimekutana na tatizo moja toka kwako. Unaoenakana una tatizo kubwa la uandishi, huna nukta wala koma. Kwa watu makini ni darasa gumu kidogo. Hebu rekebisha hayo makosa ya kiuandishi ili darasa lako liweze kueleweka. Pia angalia maneno yako kwa ajili ya hayo makosa ya kiuandishi mpaka yanakosa maana tunayopaswa kuipata.
Asanthe sana kwa hayo uliona nitafanyia marekebisho ubarikiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ungejiweka wazi kwamba unatoa ushauri pamoja na kuuza miundombinu ya Dripping, kama nakosea nisahihishe bosi
Niambie shida yako kwenye kilimo kutokana na ulivyo ona mpaka sasa alafu nitakujibu.
kama unataka kulima kisasa kwa drip systim nilete shambani kwako,
kila kitu kita kaa safi na ww utanza kuwa mkulima wa kisasa Asanthe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom