Recent content by disunyale

  1. D

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Duuu 12:00Pm? Kiswanglish. Huyu anataka kuandika 06:00PM pia 1800(katika Mtindo wa Saa 24)
  2. D

    Jaji Mutungi atumika katika jaribio la kumuengua Lowassa katika uteuzi CCM

    Watakiwa na Ikulu yao aende huko lakini si Ile ya pale Magogoni. Channel ten na Kingunge wamekuwa mawakala wa mafisadi na ufisadi. Rejea kipindi maalumu cha kingunge na taarifa ya habari ya jana na hasa leo alfajiri saa 12 asubuhi. Wanatumia maneno ya baba wa taifa na wanapotosha. Baba wa...
  3. D

    Jaji Mutungi atumika katika jaribio la kumuengua Lowassa katika uteuzi CCM

    Na akatwe tu tumechoka na ufisadi na wizi. Siri zivuje zisivuje tunasubiri tu watangaze kakatwa tupige cheers.
  4. D

    Kumekucha: Team ubwabwa wamefika ukingoni

    Mwizi huyo hawezi kwenda Ikulu. Haiwezekani mzee yule na mamvi kichwa chote mwizi na fisadi halafu aende ikulu labda ikulu ya Meru kwao.
  5. D

    Msiudanganye umma kihivyo kuwa mzee Mkapa na mzee Msekwa wanawaunga mkono

    Kikwazo cha Lowassa kutopitishwa kupeperusha bendera ua CCM ktk ngazi ya Uraisi si Membe bali matendo yake ya wizi, ufisadi, rushwa na kujilimbikizia mali kupitia madaraka aliyopewa. Mshaurini na mumwambie ukweli kikwazo ni madudu aliyoyafanya wakati akiwa madarakani na pia hata baada ya...
  6. D

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aomba radhi kwa kauli yake aliyotoa kuhusu Lowassa

    Umenifurahisha sana. Eti atasema miguu iliteleza. Ha ha haaaa. Mzee huyu balaa
  7. D

    Ombi la Mdahalo, Mawaziri Wakuu Wastaafu

    kabisa umepatia. Kumwelewa utege masikio vizuri na macho umwangalie mdomo
  8. D

    Ombi la Mdahalo, Mawaziri Wakuu Wastaafu

    Safi sana. Kati yao kuna mmoja kuongea kwake inabidi umsikilize kwa makini ndiyo uelewe unasrma nini. Mdahalo utaandaliwa lakini kuna atakayeingia mitini.
  9. D

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru kuwadi wa Ufisadi

    kweli una maslahi na taifa hili. Hatuwezi kuacha wevi na wanyang'anyi waingie ikulu. Unajua inasikitisha sana kuona mzee kama kingunge awe kuwadi tena kuwadi wa ufisadi kheri angekuwa kuwadi wa kumtafutia bosi wake chicken springs wa kumfurahisha mamvi faraghani. Naomba nijulishwe kama mzee...
  10. D

    Hivi vitisho vya Lowasa ni kweli?!!

    Natamani Julai ifike, jina la fisadi Lowassa likatwe mapema na hapo ndiyo atakapotambua watu wanakula pesa yake tu. Atabaki na walinzi wake tu makundi ya kwenda nyumbani kwake yatafikia tamati maana mkono mtu hauwezi kulambwa, ulaji hakuna. Tunasubiri Dodoma wamwonyeshe yeye si kitu mbele ya...
  11. D

    Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

    Hataki jina la kibaka likatwe sababu parkings za Dar zote atanyang'anywa akii asiye fisadi na atakosa ulaji. Wazee wa umri, wazee wa dhuluma na ufisadi wanatapatapa kuu la majambazi liingie Ikulu. Thubutuuuuuuuuuuu jina linakatwa mapemaaaaaaaaaa mzunguko wa kwanza hatusubiri robo fainali.
  12. D

    Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

    amezeeka oblangata.
  13. D

    Onyo kali kwa kamati kuu CCM chama changu, Baraza la wazee na Rais Kikwete

    Mpitisheni jina lake katika nchi yenu ya kusadikika iliyojaa ufisadi, wevi na wanyang'anyi. Urais unatafutwa kwa rushwa na ubabe na kutosililizana huo utakuwa wenu majizi ya nchi hii na mafisadi ila kwa nchi yetu hii TANZANIA nafasi ya wenye ubabe na wadudu kichwani hawawezi kupewa dhamana ya...
  14. D

    Kiseryi Chambiri: Mtazame Lowassa vizuri

    Bila kusahau back up zipo kwenye briefcase iwapo charge itaisha.
Back
Top Bottom