Shuleni alipewa Suspension kwa kosa la kuvaa barakashia parade,maana aliambiwa avue akagoma, Mkuu wa shule akamwambia aende nyumbani akijua ya kwamba jamaa ataogopa na kuomba msamaha lakini jamaa alibeba vitu vyake akasepa asubui mapema na hapo shule tukijua ya kwamba Jamaa kaenda kwao
Mkuu Badirika faster usiwe mtu wa expectations sana maana utakua disappointed mnooo chukulia simple n easy tu uki jiwekea ni lazima iwe hivi mara vile utalialia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.