Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amemuomba msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kubadilisha ratiba ya Wasafi Festival mkoani Iringa ili ahudhurie kwenye tamasha la kizalendo la JAMAFEST.
Akiongea na Waandishi wa Habari Waziri Mwakyembe amesema kuwa...
JUHUDI za Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, kukomesha wizi wa vyombo vya usafiri hasa Bajaj na pikipiki, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwanasa vijana watano wanaodaiwa kuhusika kwenye matukio hayo huku likiendelea kuwasaka wengine.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juzi, Kaimu...
Akizungumza jana wakati wa uzinduzi wa Kiwanda
cha kutengeneza mabomba Vingunguti jijini Dar
es Salaam, alieleza jinsi alivyoshangazwa na
Watanzania walioshangilia mkasa ulioikumba
ndege hiyo ambayo imenunuliwa kwa kodi za
wananchi.
“Wasaliti walikuwapo tangu enzi Mungu
alipoumba dunia...
Wachambuzi wameonya kuwa shambulizi lililofanywa na ndege zisizokuwa na rubani (droni) katika vituo viwili vya mitambo ya kusafisha mafuta, inaelekea kuwa umezidi kuharibu uwezekano wa suluhisho kati ya Tehran na Washington, na huenda ukasukuma bei ya mafuta kufikia dola za Marekani 100 kwa pipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.