Kitendo cha TBccm kukatisha matangazo ya Bunge na kuweka hotuba mbovu ya mkuu wa kaya ni kutolitakia mema taifa hili. Tuberclosis bacteria ya sisiem(TBccm) ni zaidi ya kirusi kinacholiangamiza taifa hili. Siku zote ukweli na uwazi ndo unaojenga nchi na penye ukweli uongo hujitenga. Tundu...
Ndugu wanajamvi, nani ambaye amewahi kuona panya mwenye akili kuliko wenzake? Panya hata awe mkubwa ni panya tu na mawazo yake ni ya kipanyapanya tu. Akili za mapanya zinafanana. Usimshangae kusema hivo kwa sababu yeye ni ukoo ule ule wa mapanya. Tunaoamini ukweli tunaendelea kuamini ukweli.
Nchi yetu inaenda mrama kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri kwa viongozi wetu. Wakijitahidi kufikiria, fikra zao zinaishia matumboni mwao.nikimaanisha maslahi binafsi. Hawaangalii kabisa mstakabali wa taifa letu kwa miaka mingi ijayo. Hakika tutaangamia kwa viongozi wetu wengi kukosa maarifa.
Muungano wetu ulikuwa wa nchi mbili za TANGANYIKA na zanzibar kuunda Tanzania. Tunaona zanzibar bado ipo tena ikijitangaza kama nchi kamili lakini TANGANYIKA hatuioni japo kila Desemba 9 tunaadhimisha uwepo wake. Tunahitaji Tanganyika inayoonekana na kama ilivyo Zanzibar. Tanganyika kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.