Chadema ndio waasis wa udini na sio JK,angalia haya
* ccm waliposema cuf ni ya muslims chadema wao walisema nin?
* inapotokea muslims wana malalamiko yao chadema hufanya nin?
* kwa nin chrstians woote tuwe chadema?
* chadema ina uhusiano na taasis yoyote ya kidini ndan na nje ya...
Kupinga kitabu cha mo said hapa jf noi kukosa taaluma.andika kitabu chako tena kwa reference zilizoshiba ndo umpinge mo.we unakalia somalia somalia... Huko ni kuishiwa na hoja.ina maana ww na elimu yako uchwara bado haujui hujuma wanayofanyiwa muslims dunian kote na mataifa yenye nguvu?jipange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.