Namba ya kidato cha nne na cha sita haina expiry date.
Unaomba chuo mwaka wowote mradi matokeo yako yanakidhi vigezo vya kudahiliwa kwenye chuo husika.
Mwandishi wa habari anapaswa kuwa amebobea kwenye fani flani lakini ni lazima awe mwandishi wa habari.
Mfano mwandishi wa habari za mahakama anapaswa kuwa na weledi pia kwenye masuala ya sheria hivyo licha ya kuwa na taaluma ya uandishi wa habari anapaswa kusoma pia sheria.
Kubobea kwenye fani...
Shida sio Form four certificate, si unafanya mtihani wa form four kama private candidate na sioni kama kuna shida. Labda nia ya kusoma ndio hawana maana miaka 9 sasa inapita tangu wapewe maelekezo ya kusoma. Miaka 9 inatosha kusoma mpaka bachelor kabisa sio Diploma tu tena kwa mtu alie na elimu...
Muhusika angeweza kureseat kupata D nne inawezekana kabisa.
Kwasababu utaratibu huu uliletwa mwaka 2016 ni miaka 9 sasa imepita. Kama mtu kapewa miaka 9 kupata Diploma hata kama alikua lasaba angeweza kusoma mpaka kufikia Diploma hata bachelor.
Labda wahusika hawakua na nia ya kusoma au hawana...
Kipaji ni added advantage lakini lazima upate elimu ya taaluma husika.
Hata ujue sheria kwa kiwango gani huwezi kuwa Wakili bila kusoma haiwezekani.
Hata ujue kutibu kwa kipaji huwezi kusajiriwa kama Daktari na haujasoma haiwezekani.
Sasa uandishi wa habari ilibaki fani isiyo na uthibiti...
Wameachwa toka mwaka 2016, ni miaka 9 sasa imepita hata mtu wa lasaba angekua kamaliza hiyo Diploma kitambo.
Labda hawapendi shule au hawapendi kuwa wanahabari.
Vipindi vilikua vinamilikiwa na watangazaji au na Vituo husika?
Kwanini hao watangazaji wanaogopa sana shule?
Tangu mwaka 2016 ni miaka 9 imepita wakiambiwa wasio na sifa za kielimu wasome wengine wakasoma wengine wametulia tuli wakiona serikali inafanya mzaha.
Mtu kama Shigongo ametoka Lasaba...
Walitoa muda wa kusoma tangu mwaka 2016. Hata kama mtu ni lasaba angekua alishamaliza hiyo Diploma kama kweli anania na kazi husika.
Taaluma nyingi zina udhibiti wake inawezekana kukawa na wanaofanya vizuri na wanaofanya vibaya lakini ni vizuri kuwa na udhibiti wa watu sahihi kwenye taaluma...
Fuatilia vizuri Foundation Programme ni kozi ambayo iko under TCU.
Chukua guide book ya TCU utaona sifa za vyuo vingi kujiunga mojawapo ni muhitimu wa Foundation Programme ya OUT akiwa na GPA ya 3.0 kwenye foundation.
Unaweza kusoma bila shida kabisa kwasababu wakati peke unapohitajika kwa lazimq chuoni ni kipindi cha mitihani.
Mitihani inakua
February
June
September
Unachagua kipindi unachotaka kufanya hivyo unapanga likizo yako iwe June au September then unafanya mitihani.
Nadhani mnashindwa kuelewana kwasababu unataka picha ya shule ambayo haipo.
Nilivyoelewa ni kwamba Shule ilikuwepo zamani lakini kwa sasa haipo na eneo la shule limegeuzwa kwa matumizi mengine ila msikiti wa shule umebaki.
Sasa alete picha ya shule isiyokuwepo kwa sasa?
Labda umjibu kuwa wakati...
Hivi VETA inaweza kuchukua wanafunzi wangapi kwa mwaka kwa takwimu zao?
Wanachuo wangapi wanamaliza kwa mwaka vyuo vikuu na vya kati?
Nakumbuka kuna vijana walikosa nafasi VETA kwa kuwa nafasi zilikua zimejaa kipindi cha nyuma kidogo, sinahakika kama VETA imekua na ukubwa huo wakuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.