Umeona wanarudia tu na hakuna Raisi mzuri Kama lowassa na kwa sasa hatutaki Raisi masikini na omba omba hawa hua hawaleti maendeleo Bali ni kuiba tu na kujaza matumbo Yao lakini lowassa Ana uchungu wa kuletea watanzania maendeleo mtakubari lowassa oyeeeeeeeee
Hapana hamjui TV zetu hazina watalaamu na hua hazijue cha kutangaza na ni wazuri sana wa kutangaza matatizo na vurugu kuliko kutangaza mema na neema ukiona hivyo jua hakuna vurugu na watanzania tumekua wastaraabu balaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.