Recent content by Dinasours

  1. D

    Kwanini Edward Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Umeona wanarudia tu na hakuna Raisi mzuri Kama lowassa na kwa sasa hatutaki Raisi masikini na omba omba hawa hua hawaleti maendeleo Bali ni kuiba tu na kujaza matumbo Yao lakini lowassa Ana uchungu wa kuletea watanzania maendeleo mtakubari lowassa oyeeeeeeeee
  2. D

    Gwajima amtumia salamu CAG Prof Asad kufuatia ombi lake la kujengewa msikiti ofisini

    Balaa msikiti in public office kuonyesha anafanya Kazi sana au
  3. D

    Natafuta Mume Umri 38-43

    Maelezo hayatoshi tuma your good names in FB tuperuzi hahahaha
  4. D

    Tundu Lissu, Paul Makonda na Marcus ndani ya Star TV tuongee asubuhi

    Hiii kweli kuita Mjusi,Kenge,Mamba pamoja ni shida na hela za stambic itakuwa Ikulu ndani
  5. D

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    We have some answers already no need for uchunguzi hell uchunguzi
  6. D

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Nothing new guys even inverstigations will be the same u shouldn't waste our cash again please
  7. D

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Hahahaha uchunguzi wa kodi not else is already gone damn sht
  8. D

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Yaani kaaja mule mule kulingana na mategemeo ya wengi
  9. D

    TV za nchi yetu hazitufai

    Hapana hamjui TV zetu hazina watalaamu na hua hazijue cha kutangaza na ni wazuri sana wa kutangaza matatizo na vurugu kuliko kutangaza mema na neema ukiona hivyo jua hakuna vurugu na watanzania tumekua wastaraabu balaa
Back
Top Bottom