Recent content by dilly sean

  1. dilly sean

    God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

    Mambo vipi,Mimi ni MTU wa mungu,ninajibu kulingana na Dini zetu na utafiti wangu WA kumjua mungu.nabase kwenye Dini zote za ibrahimu ,HAKIKA MUNGU YUPO NA KWAKE TUTAREJEA. Kizazi cha ibrahimu Ismail-waislamu Isaka-wakristo Etc wewe umebezi kwenye biblia inasemaje na sio VITABU vya Dini...
  2. dilly sean

    Mungu yuko wapi?

    MUNGU YUPO NA HAKIKA TUTALUDI KWAKE. SOMA hii muhimu Sana Kwa swali lako. Mimi ni msomi wa Qur'an,biblia,elimu dunia na elimu zingine.naamini UISLAMU na naamini UKRISTO zote ni Dini na Imani ya kumjua mungu na kuishi kama MUNGU alivyotuamrisha kupitia MITUME WAKE. JIBU LA SWALI. Kuna jamaa...
  3. dilly sean

    Ugonjwa wa Kusahau/Kupoteza Kumbukumbu: Dalili, Tiba na Ushauri wa Kukabiliana na Hali Hii

    Kama we ni mlevi wa pombe,sgara,bangi,nyeto.lazma vitakuzingua tu.pia kama hauli vizuri.kama ni MTU wa hofu wa mara Kwa mara,stress za maisha na VITU vingine.lazma ukumbwe na hii kitu. Acha vyote hivyo fanya mazoezi,time management,make sure Kila kitu kinafanyika on time.utapunguza tatizo Kwa...
  4. dilly sean

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Kipindi hiki cha CORONA soko la kuku wa nyama limekaaje? Nataka niingize mzigo bandandani mnanishaulije wana JF.
Back
Top Bottom