Recent content by dikokuu

  1. dikokuu

    R.I.P beautiful young gal

    Rip
  2. dikokuu

    Jeshi la Polisi lakana kuhusika kutekwa kwa msanii Roma Mkatoliki

    usiwe na siasa kila seheme kama lingetokea kwa mama ako au baba yako ukudhubutu kutoa kauli kama hizo za kisiasa za chama mfu kama huna chakuchangia usiharibu mb na chaji yako
  3. dikokuu

    Maalim Seif avuliwa Ukatibu Mkuu CUF, Magdalena Sakaya apewa Ukatibu Mkuu

    kwan kunatatizo gani kama viongozi unao ndio hao magnalena usiharibu chama cha watu
  4. dikokuu

    Maalim Seif avuliwa Ukatibu Mkuu CUF, Magdalena Sakaya apewa Ukatibu Mkuu

    mm nahisi hujamaa kumuita professar nikosa tena lajinai kwasababu yy mwenyewe alijuhuzulu wenziwe bado amekaa mtaan ameona rumba gumu amerudi anawaharibia wenzake chama profesa wewe hutakiwi ktk hicho chama nakushauri anzisha chama chengine
  5. dikokuu

    Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

    kutukana na kuvamia kituo tena kwa silaha lipi kosa kubwa kisheria au kwakua ney sio msukuma inchi inaenda kibaguzi hii sasa
  6. dikokuu

    Nape amezuiwa, ujumbe umewafikia

    mm nadhini inchi inaelekea kwenye ubaguzi mkubwa sasa wakikanda
  7. dikokuu

    Waziri Nape: Kitendo kilichofanywa na RC Makonda kimenajisi Tasnia ya Habari. Kamati yaundwa...

    juzi hata mwezi haujafika jamaa alisema zanzibar ukatwe umeme na wakule akasema yupo tayar kutumia vibatar lkn kwakuonesha amekerwa na kauli ile lkn jana watu hawa walikua pamoja na kufurahia maisha yao sisi wanyonge huku tunabishana watakata hawakati naomba watanzania wenzangu tusitupe mda wetu...
  8. dikokuu

    Waziri Nape: Kitendo kilichofanywa na RC Makonda kimenajisi Tasnia ya Habari. Kamati yaundwa...

    kaka nape nguvu zako nindogo sana ktk jambo hili wewe kama unaachiangazi anyia tu lkn sio kuonesha umechukia mbele za watu kumbe umefurahia
Back
Top Bottom