Biblia inasema angalien siku zamwisho makahaba wasije wakawatangulia mbinguni akimaanisha wenye dhambi wote kilichopo ni kila mtu ajitakase kila wakati mana hao alsh ipo siku watajeuka kwa mungu nae atawasamee na sisi tunao wanyooshea kidole tukakosa mbingu kwa dhambi ya kutokumsamehe mwenzako...
Mwacheni mungu alivyo yeye kaumba wema kaumba na wabaya baraka zake zipo ju ya wote Hajambagua mtu iweje sisi tubaguane ingekua mungu ni wa. Athumani au wa danieli tungekoma MUNGU ni wa wote jamani Na kila mmoja atajibu kwa wakati wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.