Hello habari ya leo wadau ,
Mimi naishi Dar Es Salaam Kimara Temboni na sasa nahama kikazi kwenda mkoa mwingine
Nauza vyombo vyote vya ndani ambapo katika vyombo hivyo nna TV Inch 32 kampuni ya Ailyons na king'amuzi Cha Azam cha Dish vyote Tsh.270,000
Sofa za watu wawili mbili zote...
Hello
Mimi ni kijana wa kiume nahitaji mke
Umri wangu ni miaka 32
Rangi yangu maji ya kunde
Ni mwembamba na mrefu wa wastani mwenye mwili wa kawaida
Elimu yangu kidato cha nne
Shughuri yangu ni Mjasiriamali ambaye pia nna taasisi yangu ya mafunzo ya kujenga biashara mtandaoni nnayo...
Habari ya leo wakuu,
Natumia nyote mnaendelea vizuri kabisa
Kama nilivo andika katika kichwa Cha habari kuwa natafuta Mke Wa kuoa aliye siriasi na ambaye yuko tayari kuanza mahusiano ya ndoa
Mimi ni kijana wa miaka 30
Shughuri yangu mjasiriamali
Elimu yangu kidato Cha nne
Muonekano wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.