Binafsi nakushukuru sana Dr Said kwa mafunzo yako na maarifa yaliyopo kwenye kozi zako kwakuwa mimi ni mwanafunzi niliyejiunga na kozi zako mwaka 2022 nilikuwa chini ya Coach Ema kipindi hicho Darasa letu na kina Imanuel Mnyongo,Omary Gubi,Elia Sereka,Madam Husna wa Zanzibar,Ahazy Nges na...
Max Pro Limited ni Kampuni inayojihusisha na utengenezaji na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za Usafi kama vile Tiles Cleaner,Hand Wash Soap,Window Cleaner,Shower gel,Air Fresh,Car Shampoo,Hair Shampoo,Sofa Cleaner,Skin Care Products n.k.ambayo ipo Kigamboni Dar es Salaam.
Max Pro Ltd...
Hello habari ya leo wakuu, hongera kwa mapambano ya kutafuta ajira pasipo Kuchoka licha ya kukosa nafasi
Leo nimekuja na wazo la biashara ambalo binafsi nimelifanyia kazi kwa zaidi ya miaka 3 mfululizo na kwa mafanikio makubwa
Kama utaamua kuchukua hatua na kulifanyia kazi basi utajikomboa...
Kama unahitaji kufanikiwa kwa haraka kwakutengeneza faida kubwa ukiwa kama mjasiriamali mdogo jikite katika biashara za kutatua changamoto za watu tunaziita biashara za kitalaam (Expert Business)
Aina ya biashara hizi hazihitaji mtaji mkubwa wa pesa badala yake mtaji wake mkubwa ni suluhisho...
Zipo njia nyingi unazoweza kutumia ili kutengeneza kipato kupitia mtandao na baadhi ya njia hizo ni kuuza ujuzi na maarifa uliyo nayo mtandaoni
Unauzaje ujuzi wako ? Unatakiwa kwanza ujue jinsi ya kujiposition kwenye soko kupitia social media marketing
Kile kitu unachokijua ni biashara tosha...
Job Overview
SALES AND MARKETING OFFICER– INFINITY BRANDS TANZANIA LIMITED
Infinity Brands Tanzania Limited- is a Company offers online business growth training,capital sources and development for Employed,unemployed business owners,small entrepreneurs,retired,university students and graduates...
Hello habari ya leo wadau ,
Mimi naishi Dar Es Salaam Kimara Temboni na sasa nahama kikazi kwenda mkoa mwingine
Nauza vyombo vyote vya ndani ambapo katika vyombo hivyo nna TV Inch 32 kampuni ya Ailyons na king'amuzi Cha Azam cha Dish vyote Tsh.270,000
Sofa za watu wawili mbili zote...
Hello
Mimi ni kijana wa kiume nahitaji mke
Umri wangu ni miaka 32
Rangi yangu maji ya kunde
Ni mwembamba na mrefu wa wastani mwenye mwili wa kawaida
Elimu yangu kidato cha nne
Shughuri yangu ni Mjasiriamali ambaye pia nna taasisi yangu ya mafunzo ya kujenga biashara mtandaoni nnayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.