PetroQuavo sometimes ukata unafanya watu wengi wafanye mambo nusu nusu, but I hope they could have spent some time in security. Website development is not something kila mtu anaweza akafanya to the fullest, achilia mbali plagiarism kwenye code we still have something to learn
marxlups nadhani ungerudia kuusoma uzi huu ungeelewa haraka mno. It's a wake up call hili jambo litakuja kuwa serious in the days to come, nyuzi kama hizi zilianza kushika kasi kipindi cha nyuma kidogo. Kama sikosei kuna mmoja aliitua nyuzi moja akiwalaumu vijana wa UDOM kuwa na nywila dhaifu...
Habari zenu wanajukwaa na ma great thinker wa JF. Matumaini yangu ni kwamba tunaendelea salama, kwa waliopatwa na matatizo nawaombea kwa m/Mungu awasaidie.
Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, imekuwa jambo la kawakda kwa tovuti nyingi za kibongo kutokuwa na structure, organization...
Kiukweli mimi namuheshimu sana mtu ambaye ameamua kusimama mbele ya watu na kutumia kipaji/ talanta aliyopewa na m/Mungu kujipatia pesa.
No matter show slowly the guy is advancing, never stand a foot to speak stupid things on them 😎
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.