Mpaka huu uchaguzi upite, watanzania wengi tutakuwa tumeyumbishwa sana na hawa wanasiasa. Wengine wanatumwa humu kuwachafua wenzao na wengine wanatumwa kuwajenga wenzao. Kazi ipo. Chamsingi ni kutumia akili zetu zaidi na sio yanayosemwa na watu. Ukianza kuwachambua wanasiasa wengi wanaosemwa...
Kweli watanzania tumepoteza kabisa dira ya maisha yetu. Hivi unawezaje kuandika ujinga kama huu ambao haukupatii faida yoyote bali kumchulia mama wa taifa letu. Acheni ujinga jamani, tufanye mambo yenye tija kwa nchi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.