Recent content by Dickson mwaipopo

  1. Dickson mwaipopo

    Hivi siku hizi watu hawawezi kufunga ndoa bila michango?

    Wabongo kwa nongwa mzee! Watakususia kila jambo lako lakijamii. Watu wanachuki bhana, unaweza usimchangie kwenye sherehe yake mtu akafuga chuki hata ukipatwa na msiba anaweza asitokee au kuhamasisha wengine wasije hata kuzika
  2. Dickson mwaipopo

    Busisi kimenuka!

    Jumamos usiku nilikua natoka Geita nakwenda Mwanza, nimefika pale kivukoni saa 3 usiku! Ila kulingana na folen niliyoikuta, tumekuja kuvuka saa 9 usiku! Serikali wangeingilia kati hili swala la vivuko pale Busisi
  3. Dickson mwaipopo

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    We unajuaje, je kama alikua anachunguzwa muda mrefu leo ndo majibu yamepatikana na maamuzi yakafata? Au ulitaka hadi aje mlango kwako agonge akwambie uchunguzi wa tuhuma za Sabaya umekamilika??? Mkuu unateseka ukiwa Bomang'ombe au wapi??? Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  4. Dickson mwaipopo

    Hii ndio sababu namfananisha Ole Sabaya na Moringe Sokoine

    Kabla yakuandika huu upupu wako ungetoa kwanza hiyo picha ya Tundu lisu alafu ndo ukaanza kumsimfia huyo jambazi wako Sabaya! Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  5. Dickson mwaipopo

    Ushauri: Mpenzi wangu mpya ni Mzungu, nashindwa jinsi ya kumuomba pesa

    Si mlishazoea kwetu, tukimaliza tu kuwagegeda mnaanza kulia njaa, haya tumia mbinu hiyohiyo pia. Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  6. Dickson mwaipopo

    Ushauri: Mpenzi wangu mpya ni Mzungu, nashindwa jinsi ya kumuomba pesa

    Tuchki Kwahiyo mkuu una-enjoy kupiga nae picha tu nakulala kwenye hotel nzuri sio[emoji848]......hahahahaa Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  7. Dickson mwaipopo

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Shusha vitu sasa Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  8. Dickson mwaipopo

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Jilipue uende Norway[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  9. Dickson mwaipopo

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Game ya Simba na Yanga imeahirishwa, shusha vitu mzee Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  10. Dickson mwaipopo

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Saa nne tena tupia nyingine mkuu Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  11. Dickson mwaipopo

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Hata kikiwa kirefu sio mbaya maana mechi si mpaka saa 1 bhana, we shusha vitu tu Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  12. Dickson mwaipopo

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Rama ndo Staring wa hii movie Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  13. Dickson mwaipopo

    Hatua kwa hatua hadi Leirvik - Norway, kwa wanaotaka kufika Norway nitawaeleza hapa

    Mkuu ni tag namm kwenye huo uzi niuone Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  14. Dickson mwaipopo

    Hatua kwa hatua hadi Leirvik - Norway, kwa wanaotaka kufika Norway nitawaeleza hapa

    Mmh ukoserious Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
  15. Dickson mwaipopo

    Hatua kwa hatua hadi Leirvik - Norway, kwa wanaotaka kufika Norway nitawaeleza hapa

    Hahahahaha sawa mzee wa week Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom