Habari zenu wakubwa wa JamiiForums
Niende moja Kwa moja kwenye mada
Hivi karibuni mdogo wenu nimepata mpenzi mpya ila kiasili si Mtanzania mwenzetu ni Mzungu ila anamakazi na biashara zake hapa Tanzania.
Huyu mpenzi wangu tuna miezi kadhaa kwenye mahusiano ananipenda na kila nikimuhitaji anakuja Kwa wakati tunaonana na tunatoka out pamoja na mara nyingi anapenda tuonane.
Tatizo lililonifanya mpaka nianzishe uzi ni kua mpenzi wangu hajawahi kunipa pesa hata siku moja sasa nashindwa jinsi ya kumuomba ukizingatia sijawahi kuwa na mpenzi mzungu sijui nikimuomba pesa itakuaje ila tukiwa out analipa bills zote ila hajawahi kunipa hata pesa cash na mimi nina shida zangu binfsi.
Najua humu kuna watu mna uzoefu na jinsi ya kuishi na hawa watu wa mataifa mengine naomba mnisaidie mwangaza ili nisije nikaomba pesa nikaonekana gold digger.
Naomba ushauri Kwa wenye nia ya dhati ya kunisaidia wale wenye Matusi na kejeli ni bora mkapita kimya kimya.
Niende moja Kwa moja kwenye mada
Hivi karibuni mdogo wenu nimepata mpenzi mpya ila kiasili si Mtanzania mwenzetu ni Mzungu ila anamakazi na biashara zake hapa Tanzania.
Huyu mpenzi wangu tuna miezi kadhaa kwenye mahusiano ananipenda na kila nikimuhitaji anakuja Kwa wakati tunaonana na tunatoka out pamoja na mara nyingi anapenda tuonane.
Tatizo lililonifanya mpaka nianzishe uzi ni kua mpenzi wangu hajawahi kunipa pesa hata siku moja sasa nashindwa jinsi ya kumuomba ukizingatia sijawahi kuwa na mpenzi mzungu sijui nikimuomba pesa itakuaje ila tukiwa out analipa bills zote ila hajawahi kunipa hata pesa cash na mimi nina shida zangu binfsi.
Najua humu kuna watu mna uzoefu na jinsi ya kuishi na hawa watu wa mataifa mengine naomba mnisaidie mwangaza ili nisije nikaomba pesa nikaonekana gold digger.
Naomba ushauri Kwa wenye nia ya dhati ya kunisaidia wale wenye Matusi na kejeli ni bora mkapita kimya kimya.