Penda nchi yako siyo kwa ushabiki wa kutukana rais wetu acha utoto wewe. Mungu ambariki sana jemedali wetu anaonesha uzalendo kwanza hayo maneno ni yenu msioitakia mema nchi yetu.
Raisi anatusaidia sisi ni mtetezi wetu ila wachache amjui maskini. Akifanya vizuri mnamponda akifanya zaidi ya vizuri mnamkejeli je nyinyi mnastahili adhabu gani ?
Duniani kuna watu wa ajabu kwahiyo mtu akija kwako akakunyanganya mke wako unamuacha kwa kuwa wewe ni msikini. Huo ni ujinga raisi yupo sahii hata kama waanzishe kesi hao Acacia huyo wakili anajali maslahi yake. Wakili anakula kiapo yeye alikula kiapo kwa ajili ya acasia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.