Recent content by Dickson Katarama

  1. D

    Bei ya mafuta kupanda kuanzia April 4,kuporomoka kwa shilingi dhidi ya dola kwatajwa kuwa ni moja ya sababu

    Penda nchi yako siyo kwa ushabiki wa kutukana rais wetu acha utoto wewe. Mungu ambariki sana jemedali wetu anaonesha uzalendo kwanza hayo maneno ni yenu msioitakia mema nchi yetu.
  2. D

    Kiwanda cha dawa alichozindua Rais Magufuli kipo tangu mwaka 2014, sio kipya

    Muache uongo nani ka kwambia hayo maneno ya kusema kiwanda ni chá 2014 .acha uongoooooo
  3. D

    Aliyevujisha siri ya Bombadier kwa Lissu asakwa

    Watanzania hivi mnapenda kiongozi wa namna gani mnalalamiiiikaaaaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Wadada smartphone ndio sitakazokuja kuwaoa

    Kuolewa ni wajibu na ni agizo kutoka kwake mkuu wa yote Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
  5. D

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Wasipotulipa wewe ni accacia au ni mtanzania kwahiyo unaiombea nchi yetu mabaya.utake usitake tutalipwa
  6. D

    Wanasheria naomba msaada jinsi ya kuishtaki CCM na Serikali yake

    Anaeshitakiwa ni ccm au wabunge waliopitisha hayo
  7. D

    Angekuwa yule mnadhani angefanya kama anayoyafanya huyu?

    Raisi anatusaidia sisi ni mtetezi wetu ila wachache amjui maskini. Akifanya vizuri mnamponda akifanya zaidi ya vizuri mnamkejeli je nyinyi mnastahili adhabu gani ?
  8. D

    Kuondolewa Motor Vehicle Licence janga kwa wananchi wa kawaida

    Kwani mbona mtu anaanza kwa kutembea alafu ananunua gari
  9. D

    Hypothetical scenario; Tundu Antipas Lissu akubali kuiwakilisha Acacia mahakamani vs Magufuli

    Duniani kuna watu wa ajabu kwahiyo mtu akija kwako akakunyanganya mke wako unamuacha kwa kuwa wewe ni msikini. Huo ni ujinga raisi yupo sahii hata kama waanzishe kesi hao Acacia huyo wakili anajali maslahi yake. Wakili anakula kiapo yeye alikula kiapo kwa ajili ya acasia
  10. D

    Ninajamba sana ifikapo asubuhi

    Chunguza utakuwa unalala bila kujifunika tumbo linapigwa baridi na kutengeza Gesi.jaribu kulala umejifunika au lala na nguo uangalie matokeo.
  11. D

    Tuliosoma SUA, Tukutane hapa

    Unamkumbuka prof. Martin shemu wa animal science?
  12. D

    Vinapatikana kwa wingi mkoa gani hivi?

    Bukoba mkoani kagera
Back
Top Bottom