Aisee huyu Mzungu Mmasai ataniletea majanga kwa wife kitendo cha kufungua tawi hapa opposite na ofisini imekuwa shida kwangu.
Wakati wa lunch lazima nizimue kidogo.Jioni nikitoka ofisini ndiyo nakaa hapo hadi usiku napata vitu huku nikicheki watoto wazuri, wife akihoji kwanini nachelewa...
Wewe utakuwa na babu kwa pesa zake,halafu pembeni una ka mariooo umekipenda halafu kanakupiga mizinga balaa.Hela zote anazokupa babu mariooo anabeba unakuja kulia lia jf.nyambaaaf
Ni baada ya kuhisi kuwa mke wangu anamtamani mume wake ndipo Jana nimekutana nae dukani kwa mangi akaniambia.Mkeo na mume wangu naskia wana mahusiano.kama vipi na sisi tulipize kwa kugegedana.Kama haitoshi Leo asubuhi kaja ninapokaa kuchota maji na khanga moja.
Swali nimgegede au nipotezee...
Alinikuta bar nausubiria mchepuko ufike huku nikipata safari ya baridi.Baba mdogo akavuta kiti akakaa na kuagiza kinywaji.Muda si muda mchepuko unafika.ILe umesalimia na kukaa ba mdogo akanivuta chemba na kusema amempenda ghafla huyo rafiki yangu.Mimi nikamchana live kuwa ule ni mchepuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.