Recent content by Dibwela

  1. D

    CCM ina wenyewe Mwita Mwikabe Waitara

    Duuu betina Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Taarifa ya Bakhresa Group kuhusiana na Upotevu wa Makontena

    Ukiachana na hayo makontena yaliyopotea.yapo mengine zaidi ya mbili ya ukwepaji wa kodi....na hayo nayo mleta uzi unatuambiaje?
  3. D

    Hivi UKAWA Mnadhani mama Maria Nyerere sio mwanachama wa CCM?

    mi nataka ulianzishe naona kama unafikiria kwa makalio...kwani magufuli anaposema naombeni peoples mnipe kura zenu anataka ccm wampeleke ikulu au hao peoples?msikurupuke kuleta nyuzi kama mmtoka kula wida.
  4. D

    Ushiriki wa Dk. Wilbrod Slaa kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    ACT+ZITTO+KIKWETE=CCM.kwa hiyo siwezishangaa hata kidogo kwa dr slaa kusimama jukwaani na kuponda upinzani.
  5. D

    Sumaye haeleweki anachosimamia

    Inawezekana we ndo huelewi anachosema.kama mjinga mwenzio amechangia upuuzi wako eti sumaye alisema hakuna ccm ilichofanya.yeye na ujinga wake kama wewe kadai hamwelewi anachosema.kisa alikuwa pm,kwa kuwafungua tu tatizo sio kuwa pm.tatizo mfumo,hata huyu anayetisha watu majukwaani anajiapiza...
  6. D

    Ukweli mchungu...Hakuna jimbo ambalo UKAWA wamejihakikishia ushindi!

    Una kichaa.subiri m.........utajaza.avunje baraza la mawazi.ndo utajua.
  7. D

    GE2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

    Kama ameshindwa kuiongoza tff sijui kama iringa mjini inamtosha.ila asubuh tupo wote usiku peeeopleessss....
  8. D

    Dadeki huyu ndie Rais wetu

    Hafai hata kidogo.kwa ushahidi tiyari ashagombana na team kampeni yake yote iliyokuwa na kina kibaji.mwigulu kwa vitu vidogo tu.
  9. D

    William Lukuvi kumrithi Mizengo Pinda

    Kwa nchi yetu ya tanzania?au?
  10. D

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Mleta uzi ndo tatizo.nieleweke hivyo tu.
  11. D

    Bundi kutua tena CCM!

    haya ndugu wapi mwigulu?wapi team kampeni tuliyoambiwa?ndo ujue huko kimenuka.mafunguo anadai risiti kwa kila kitu.vijana wamegoma.
  12. D

    Ni lini Baraza la Mawaziri Litavunjwa?

    Kimenuka.wanaamka ccm kulala cdm.ngoja mkuu arudi anakula vyuku vya mwishomwisho mbele huko.tar 24 octber atavunja tu.
  13. D

    CHADEMA kimenuka Mbeya

    Mbeya ya wapi?au ya malawi?
  14. D

    Mpwapwa: Wanafunzi zaidi ya 630 wasomea Sakafuni

    Ni kweli wanapata shida ila wasubiri huyu mhindi wa jambo plastic amalize tenda ya kutengeneza masanduku ya kula ndipo.halmashauri zao watoe oda kama pesa ipo.kwani waziri mkuu amepiga marufuku madawati ya mbao kutumika kwa madai misitu itaisha.
Back
Top Bottom