Nono
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,543
- 663
Ndugu zangu, mambo ni mengi ambayo magufuli anataka kuyafanya.. anataka kuleta maendeleo ya kweli na Tanzania mpya ambayo itawafanya wananchi wote wafurahie Serikali yao kuliko sasa.
CCM OYEEE
Ama kweli mmeshikwa pabaya. Hadi wewe unakuja kujaribu kuokoa zari huku jukwaani? Wale vijana wa buku saba saba hawatoshi tena? Sasa nakubali taratiiiiibu miti yote imeanza kuteleza