Recent content by Dhokwa

  1. Dhokwa

    Msaada wakuu

    Asante sana boss. Ngoja nimtazame. Shukrani sana
  2. Dhokwa

    Msaada wakuu

    Heshima kwenu wakuu. Samahani wakuu, naomba msaada namna ya kuipata hadithi au mwandishi wa hadithi fulani iliyopata kuchapishwa hapa jukwaani. Hadithi hii nilipata kusoma hapa jukwaani hapo nyuma kitambo lakini nimesahau jina na pia mwandishi wake. Hivyo naomba mwenye kuweza kunipa link yake...
  3. Dhokwa

    Nifanyeje ili mke wangu ashike mimba haraka

    Mkuu hajapona. Hilo tatizo Bado lipo. Ndio maana nikatamani kujua iliwachukua muda gani kutibu hilo tatizo?
  4. Dhokwa

    Nifanyeje ili mke wangu ashike mimba haraka

    Tatizo lilichukua muda gani kupona?
  5. Dhokwa

    Nifanyeje ili mke wangu ashike mimba haraka

    Kiongozi ubarikiwe sana. Na Mimi mke wangu alipimwa na kukutwa na tatizo hili. Je naweza kupata muongozo zaidi kuhusu hiyo clinic iliyokusaidia?. Ila mimi nipo mkoani sio Jiji la Dar.
  6. Dhokwa

    Matumizi ya Ikulu mbili (Magogoni na Dodoma) siyo chanzo cha kutumia trilioni 33 kama OC huku 15Trln zikiwa za maendeleo?

    Mkuu mimi hii njia yako ninaichukua na kuitumia kwenye maisha yangu binafsi. Siku moja nitakupa mrejesho. Hakika ni bonge moja la idea lakini je atakusikiliza? Hapa ndipo kazi ilipo.
  7. Dhokwa

    Namtawaza Katibu Mwenezi Paul Makonda kuwa Mapigo na Mwendo

    Daaah! Kiongozi hii hoja yako imenipandisha hasira sana. Yaani umetoa hoja nzito, kubwa na iliyoshiba sana. Mkuu ubarikiwe sana na uishi miaka mingi asee. Nafurahi sana kuona kuna watu wenye upeo mpana ndani ya nchi hii. Asante sana kwa kunifanya niendelee kuamini kuwa sijawa zombi bado. Kwa...
  8. Dhokwa

    Je Ajira Kwa kada ya ualimu mwaka 2024 zimeshatangazwa?

    Habarini wakuu. Naomba kuuliza. Je Ajira Kwa kada ya ualimu mwaka 2024 zimeshatangazwa?
  9. Dhokwa

    Mzee wangu anakaribia kustaafu, uwekezaji upi ni mzuri?

    Nimekupata mkuu. Shukrani Kwa maoni mazuri
  10. Dhokwa

    Mzee wangu anakaribia kustaafu, uwekezaji upi ni mzuri?

    Mkuu samahani sana kama nitakosea kukuuliza swali. Naamini wewe una wazazi. Vipi wazee wako wakikuomba ushauri? Utawashauri au utakataa kuwashauri kwa kuwa wewe hauna mamlaka ya kuwapangia? Ni nini mchango wako Kwa wazee wako? Je ni kuwapa pesa tu?
  11. Dhokwa

    Mzee wangu anakaribia kustaafu, uwekezaji upi ni mzuri?

    Nashukuru sana mkuu Kwa kuelewa lengo langu kuu. Hoja ni kuwa aweke fedha hizo wapi ili awe anakula pole pole na sio kuwekeza. Nadhani wajumbe wengi wameshindwa kuelewa kusudi kuu la andiko langu
  12. Dhokwa

    Mzee wangu anakaribia kustaafu, uwekezaji upi ni mzuri?

    Nimekuelewa sana mkuu. Ngoja nimshirikishe mzee nione kama kuna kitu atasema. Japo mimi nimeliona ni wazo zuri ukizingatia kuwa mshua mambo ya kilimo anayawezea sana na amekuwa akifanya muda mrefu. Kwa wazo hili naona mzee akipata eneo akatulia mwenyewe akawa analima huku anafuga anaweza kufanya...
  13. Dhokwa

    Mzee wangu anakaribia kustaafu, uwekezaji upi ni mzuri?

    Mkuu hili wazo pia zuri. Ngoja nitafakari pia. Lakini huoni kuwa ufugaji pia una changamoto zake za kutosha? Vipi changamoto za usimamizi wa hiyo mifugo? Malisho ya mifugo usimamizi ukoje ukizingatia hulka ya vijana wa leo katika utendaji kazi wao? Vipi mlipuko wa magonjwa kwa mifugo...
Back
Top Bottom