Recent content by Dharau mingi

  1. Dharau mingi

    JamiiForums Tanzania Ahsante Mungu kwa kutupa Rais Magufuli

    Shida yangu sio ripoti ila ni comment za kipuuzi za Tundu lissu Léo kuhusu ripoti
  2. Dharau mingi

    JamiiForums Tanzania Kuhusu TLS: Itabidi Tundu Lissu ajiuzulu

    Mbowe Mwenyekiti wa chama na ni Mbunge, kiongozi wa Kambi rasmi bungeni, Magufuli Mwenyekiti wa chama na ni raisi wa nchi Lete vizuri Mada yako inaweza kuwa na tija ila sbb ulizotumia bado dhaifu Jenga vizur hoja
  3. Dharau mingi

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda avamia Clouds Media na kuwatisha SHILAWADU

    Njaa zinakuvuruga, na mwisho wa Maisha ya mwajiri wako ni april pale mjengoni
  4. Dharau mingi

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, msimamishe Makonda kazi kwa maslahi ya umma!

    Najiuliza hivi huyu kirikuu huwa hajiulizi ikiwa uongozi una kikomo kwa mujibu wa katiba Ya Jimu huru? (mf, makamba, Dito, nk( Huwa hajiulizi uongozi wa kuteuliwa huwa hauna muda maalamu wa kudumu madarakani na wakati wwt huweza kufikia Kikomo (mf mama malecela( Mahakama na Wanasheria imeanza...
  5. Dharau mingi

    JamiiForums Tanzania Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

    Hizi Njaa, na vitamaa vya mia mia ndio vinemdhalilisha na kudhalilisha Wanawake wenzie Bint wa Dodoma huyu njaa tu , alaf tizama source???? Gwajima moto mnene ule Lete vyeti
  6. Dharau mingi

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ashinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata 88% ya kura

    Hivi hao 221 Kati ya 1632 ndio wale mawakili wa serikali au kuna wengine ktk hiyo 1411 wa serikali?
  7. Dharau mingi

    JamiiForums Tanzania Rais amtumbua Vita Kawawa na bodi yake, aagiza viongozi wa WETCU wakamatwe

    Who is Vita kawawa? Watanzania Kama mazombi, eti Mtoto Wa kigogo this country it's not belong kwa hao vigogo, ni yako wewe mtz, hii inch ilishafikia mahali ikawa jina lako ndio linabeba sifa ya uteuz wa nafasi maeneo mbali mbali Tumbua watoto wa vigogo wote wasio na sifa
Back
Top Bottom