mbona nilisikia gari ambazo hazili sana mafuta moja wapo ni spacio. mbona mnanichanganya? au kuna spacio ambae haikuli sana mafuta na kunayo inayokula sana. naomba mnieleweshe
Deno mafungu umeyafunga wewe? Sponsor zipo kuna rafiki yangu alipata sponsor kupitia kanisa la katoliki ndo maana nikasema hvo. Mafungu mafungu umeyafunga wewe
Wafathili mbona wapo. Kuna shirika hapa hapa tanzania zinazotoa sponsor. Kuna shirika za dini,makampuni,watu binafsi nk. Cha msingi usikate tamaa kuendelea kutafuta
Hamna haitafaa kwasababu hiyo namba unayoulizwa uingize ni namba ya mwenye username kwasababu unapofungua account yako ya facebook unafunguwa na emai yako kwenye kujaza form na namba yako unaiweka hapo. Namba utakayoulizwa ni ya user so ukiweka yako itakataa kwasababu haitambuliki
habari za jioni na kheri ya mwaka mpya. mimi ni mwanafunzi nimemaliza muccobs diploma ya accounts nina GPA ya 2.4 or grade C. Nilikuwa naomba ushauri ni chuo gani kitanipokea kwenda bachelor na GPA ya 2.4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.