Hoja dhaifu kabisa....sawa tupate kwanza sheria na muundo tmpya wa tume ya uchaguzi alafu twende tukathibitishe ubora na udhaifu wa elimu yake katika vitendo....ccm wanaweza kutoa tume huru na uchaguzi wa wazi kwa uonavyo
Mi nilimsikia kada wa ccm kwenye ngenga za siasa anasema wameshajenga kwa lami hadi mwasonga juzi tu....hawa watu waongo sana.....hadi leo hiyo barabara wameishia kuichonga nakuweka makalavati tu.....SIASA ZAO MAJITAKA WANATAFUTA ATTENTION YAKUPIGIWA KURA
Hii thread ina ukweli mwingi sana sema wenye mizaha mejaa hapa ila hili nimelifanya...nachotaka kujua zinachukua muda gani kuzipata ukishaanza mchakato wake..
Kuna bwana mmoja wa pale mapinga bagamoyo alinisaidiaga sana..nilikuwa na mfanyakazi yani yeye auzi mauzo makubwa nikimuacha peke yake ila nikifika mshindo wa maana akaamua kunichezea nikawa naogopa kukaa ofisini kumkanya akikosea naogopa na nikiweza basi akikasiri siendi ofisin siku mbili hadi...
😂😂😂😂 huyo mdaiwa anaweza akakuleftisha mzee kuwa makini watu wanaofanya dhuluma bila hofu mara nyingi kambi kwa waganga..matapeli majambazi malaya hawa %78 wapo kwenye diary za vilinge....unataka ukadai hela msibani mil.40 c watakususia maiti mmalizane na mdeni wako😁😁😁😁😁
Ishu za waganga zipo kweli ila kutimiza malengo nilazima upitie hasara kubwa ya muda frdha hadhi pengine ndo ufanikishe...nazani uganga nao ni kama betting huna uhakika na matokeo asilimia 100 hata kama uzingatie vgezo kiasi gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.