hii ni kweli kabisa ule ulikuwa ujana na mlikuwa bado hamjaoana, na kama umepata bahati ya kuwa na mke anayekuheshimu iweje uanze kuchunguza yaliyopita? hujui kuwa ni bora aliyefanya hayo kabla ya ndoa na kuamua kutulia wakati umemuoa ni bora kuliko aliyekuwa mwema wakati wa uchumba akaja...
Mara nyingi wazazi hasa wa upande wa mwanamke hupenda kuweka vikwazo vingi ili waone kama huyo mme wa binti yao yuko serious na kuoawakijua kama uko seriousutalazimika kuwanyenyekea kwa kiac ulichonacho ili wakupe mke, swala la kuoa haliko simple kama umependa na umeamua kuoa komaa nao mpk kiac...
hiyo ndio siku ya muhimu katika maisha yake, mbwembwe zote ana haki ya kuzifanya inatokea mara moja tu na kuna wengine wanatamani wafurahiye cku kama hyo lakini hawaipati! mwacheni mwenzenu asogeze mzigo kariiiiibu sio kuibaiba kila siku!
Waambie maana watu wanadhani kila aliyekuwa mwalimu bac alifeli, wengine tulikimbilia ualimu ili tupate ajira za harakaharaka then tutafute michongo mingine, kila mtu ana plan zake katika maisha, na kwa baadhi huo ualimu ni sehemu ya kupitia tu!
Tamisemi wametoa majina ya wafanyakazi wakiwemo waalimu waliohama vituo kwa vibali maalum leo hii mchana! Cha kushangaza ni kwamba hawatoi tamko lolote kuhusu watu waliokosa ajira!
inategemea na mapenzi mliyonayo ndani ya ndoa! kufuliana ni kitu cha kawaida na kinaleta raha kama mmeoga wote lakini c kumfanya mmojawao awe mtumwa wa kumfulia mwenzie mara kwa mara, inabidi itokee mara mojamoja tena kistarehe zaidi! na kumpa house girl afue chupi zenu ni utovu wa nidham ni...
@ clicker, mi nadhani tatizo c chuo bali ni huko wizarani kwasababu watu wa diploma na certificate wanafanya necta na matokeo yao yanaandaliwa wizarani na post zinatoka huko moja kwa moja je chuo kinahusika vipi kwa watu kama hawa? na kuhusu kuandika majina pale mwenyewe, cc tulipeleka mpaka na...
ni kweli kabisa tena walimu ambao hawajaajiriwa ni wengi wakiwemo waliotoka vyuoni directly ngazi zote na wale wa stashahada waliomaliza mwaka juzi na kufanya suplimentary mwaka jana wakafaulu lakini hawakuajiriwa. mfano wa uhakika nilionao ni chuo cha ualimu butimba watu 96 hawakuajiriwa, chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.