Biashara ya mafuta ya kula.
Subiri bei ikishuka sana ndio unanunua mzigo wa kutosha. Mfano, mwezi Jana yalikuwa yanauzwa 81,000/= dumu la lita ishirini, now yanauzwa elfu tisini na Moja.
Umenunua dumu nyingi inapiga hela nyingi
Nashauri kichwa cha habari kingekuwa, "huduma ya kuingia kupitia App ya Utt AMIS inasumbua nifanyaje?" Ila unaposema huduma za UTT ni mbovu hapo unakosea sana.
Ndio maana kwenye maisha Kuna wanaofaulu na wanaoshidwa. Usiwe miongoni mwa wanaoshidwa Kwa sababu lukuki.
Ndio maana Kuna wanafanikiwa na wanaobaki kuwaita fremason. Wazee wa sababu huwa hawaishi na mstari huo ndio
Hakuna sehemu ambayo nimelalamika, rudia kusoma makala. Isipokuwa nimesema watanzania wengi hujifikilia sana kwenye mambo "positive" nikisema mambo positive basi lielewe neno positive.
Ni sawa na mtu atumie saa nzima kujifikilia kwenda chooni 🤣, hata usipomlazimisha tutafika wakati ataenda tu...
Kawafuatilie vizuri uone, riba inazaana Kila mwezi kama hutotoa chochote, Kila mwezi uwekezaji unaendelea kuhesabika. Mfano ukaweka Mil 10, mwisho wa mwezi itaongezeka na kuwa Mil 10 na laki na ushee na itaendelea kujihesabu Tena.
Ndugu, machuguzi ni mamoja tu, kufuata mkumbo au kufuata misingi imara ya fedha.
Wanaofuata misingi ya fedha ndio hupata fedha zaidi, na wanaofuata mkumbo huishia kujilaumu.
Sifa Moja ya tapeli ni kutokukufafanulia vizuri dhumuni lake kuu kuhusu fedha anayokusisitiza kuitoa, kipi ambacho nimeongea hujaelewa?, pia sijakwambia utoe nimekuja na wazo la uwekezaji, na huu uwekezaji uko wazi DUNIANI, so, hata wewe binafsi unaweza fuatilia na kujiridhisha kuwa ni kweli or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.