Recent content by detroit

  1. D

    CHADEMA kulikoni, viongozi mwaitakia mema Tanzania?

    Kama mabadiliko tumeyaona si ametoka kikwete kaingia Magufuli, sasa tunahitaji maendeleo, mm natakubali maandamano safari kama Mbowe, mbatia na lowassa watakua mbele kama alivyofanya mke wa slaa pale Arusha!!
  2. D

    Wanachotakiwa kujua wakina Mbatia & Co ni kuwa CHADEMA-asilia walimpigia kura Magufuli!

    Swala kutofautiana kura za rais na mbunge ndio wizi? wewe ni sawa na watu waliolalamika kuwa wamepata kata nyingi ila mbunge kashindwa, watu wamechagua mtu hzo sehemu
  3. D

    Rose Mweko, mtangazaji wa ITV anashindwa kuficha mapenzi yake kwa CCM

    mbona Joyce Kiria alikuwa anapiga kampeni karibu miezi miwili hukuongea tatizo ni hawa wa ccm tu?!
  4. D

    Joseph Nyerere na Lembeni kulikoni?

    Kishimba kashinda kwa kishindo, kwan kata zote za kahama zimechikuliwa na ccm,,!!
  5. D

    Lowassa tutakuchagua utupe haki zetu na tulipwe madai yetu sisi watumishi

    Aache kulipa madeni ya kampeni na hela ya kununua vyama hawalipe watumishi, unaota ndoto za mchana!!
  6. D

    Vijana tusishikiwe akili

    Kwahiyo ndo unasubiri wakuletee hizo nafasi?!
  7. D

    Upatu, DECI, Babu Loliondo na sasa Edward Lowassa!

    Mimi nakubaliana na wewe kuhusu uwezo mdogo wa kutafakari kwa watz, mi nafikiri tatizo kubwa nalo ni elimu ndugu, kweli elimu ni muhimu sana katika kusukuma gurudumu la nchi, nlipata kumsikia Zitto akiwasisitiza watz tusome sana hili tuweze kutafakari mambo ilikuwa ktk kigoda cha JK pale UDSM...
  8. D

    Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    Huyu mtu naona anaenda kupotea kisiasa na uchu wake wa madaraka umuishie, na 2020 ukawa wataenda kumwomba slaa tena agombee!!
  9. D

    Muda wowote kuanzia sasa nitamshtaki Lowassa mahakamani

    mshtaki huyo, mbona anaeleweka ni fisadi kilichobaki ni kushtakiwa tu!!
Back
Top Bottom