Mfumo wa mauzo kwa hapa nikielezea zaidi mauzo360 una faida kadhaa kwa biashara na mfanya biashara.
Hapa chini ni baadhi ya faida za kutumia mfumo wa POS:
1. Usimamizi bora wa hesabu: POS inasaidia kudumisha hesabu sahihi za bidhaa. Yanapofanyika mauzo, mfumo wa POS moja kwa moja hupunguza...
Kama wewe ni mfanya biashara, utakubaliana na mimi kua nyakati zinabadilika.
Wakati teknolojia inaongezeka ni jukumu la mfanya biashara kujua teknolojia hii itamsaidiaje kurahisisha shughuli zake huku akiongeza faida.
Makala hii fupi inakueleza kuhusu kazi za mifumo ya mauzo hasa “mauzo360”...
Biashara ya wallpapers inakua kwa kasi sana Tanzania. Hii ni kutokana na uhitaji na unafuu wa bidhaa hizi. Wallpapers zinatumika katika maduka ya ofisi na nyumbani pia kama moja ya kuifanya nyumba kua ni ya kisasa.
Maduka ya frame kama saloon, urembo na ofisi za ma graphics designers hupendelea...
Habari wanajukwaa?
Natumai mko salama na buheri wa afya. Leo nataka tujifunze kitu kwenye biashara.
Mabosi wengi huibiwa na wafanyakazi bila kujua, na wasijue nini chakufanya. Kazi inakua nikubadili wafanyakazi kila baada ya miezi na tukio?
Tunahifadhi taarifa za bishara kwa makaratasi. Muda...
Vitabu ni hazina. Kupitia vitabu akili zetu zinakutana na akili kubwa. Katika vitabu watu wenye mafanikio wanaongea nasisi, wanatupa mawazo yao na uzoefu wao katika mafanikio. Vitabu ni sauti ya watu ambao wako mbali nasisi na hatuwezi kukutana nao, ni sauti ya watu waliokufa wakituachia urithi...
Mohamed Bouazizi, kijana mdogo, moambanaji alieamua kujichoma moto mbele ya ofisi za serikali baada ya kufanyiwa dhuluma kwa kutaifishiwa kibanda chake cha mbogamboga na polisi na kutukanwa.
Alipoona barua zake hazijibiwi na maafisa wa serikali, na jitihada zake hata za kumuona raisi...
Ni kumbukizi ya miaka 23 toka Osama Bin Laden chini ya kundi la Al-Qaeda kulipua balozi mbili za Marekani nchini Tanzania na Kenya, akishirikiana na kundi dogo kutoka Misri.
Hili ndilo tukio lililomleta Osama katika Uso wa dunia kama mtu hatari zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.