Ahsante sana kwa ushauri kikubwa mimi ninachotaka ni kupata mtu au taasisi wa kuweza kunisadia katika masomo ya chuo kwa upande wa ada kuhusu mlolongo wa elimu yanga nilaanza 2005 mpaka 2011 shule ya msingi baada ya apo nikajiunga elimu ya sekondari kuanzia mwaka 2012_2015 baada ya apa...
Hi for every one and I wish God is able for every one my name is mr Derrick Deo have a problem concern about education issue come there to search a sponsor you help me to pair tuition fee for university in diploma program. Am form six leaver graduate last year but failed to join university...
Habari za wakati huu wanajamvi natumai mungu ni mkuu na mweza wa yote nimekuja mbele yenu nikiwa na hoja ifuatayo kwanza kwa majina naitwa Derick Deo nimemaliza masomo ya kidato cha sita ila kwa bahati mbaya alama nilizopata aziniruusu kuendelea na shahada ya kwanza kwahiyo inanibidi kuanzia...
Hellow habari za mida hii wanajamvi natumai mungu anajalia uzima kwanza kwa majina naitwa Derrick Deo nimekuja mbele yenu na baadhi ya maswali ambayo nahitaji usadizi wenu kwa njia yeyote samahani nilikua nataka kujua kuna asasi gani au taasisi zinazotoa usadizi kwa wanafunzi mbao ni non degree...
Habari za muda huu wana jamvi,
Nimekuja mbele yenu kuomba nafasi ya kazi au fursa kwa majina naitwa Aderick Deogratias. Nina umri wa miaka 23, naishi mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala nina elimu ya kidato cha sita nimesoma masomo ya uchumi.
Nina uzoefu katika kazi zifuatazo, Supervisor, Sales &...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.