Recent content by DERICK2000

  1. DERICK2000

    Ndoa sio tatizo tatizo ni yale ma roho uliotembea nayo kitandani kabla ya kuoa ndio yaanatumaliza at

    THIS IS A VALID STATEMENT.MPAKA MTU AJE KUOA..NI MAROHO MANGAPI AMEBEBA,TENA KWA WATU TOFAUTI TOFAUTI,WA TABIA TOFAUTI TOFAUTI..NDIO MAANA KWENYE NDOA,AU UCHUMBA WATU WANAKUWA HAWAELEWANI,KILA SIKU MAKWAZO,WHY?EITHER BETWEEN YOU COUPLES,KUNA MMOJA WENU AMEBEBA MAROHO YA WANAWAKE WENGINE,SO AKIJA...
  2. DERICK2000

    Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

    kumbe unene dili cku hizi eeh?maana hata wakaka wanatoa category ya kutaka watu wanene..Kula mlo mzuri,punguza stress,utakuja 2 mwili.
  3. DERICK2000

    Penda unapopenda kwanza.

    the thing iz,am not into her.get me mkuu?.
  4. DERICK2000

    Penda unapopenda kwanza.

    Nshamwambia,staki hukumu za kujitakia mbelen.am free now.ntapotea hewani 30days.nkirudi,ntakuta kashapoa.na kuaccept wat is al about.
  5. DERICK2000

    Penda unapopenda kwanza.

    Ndo ilivyo na kwa wengine mkuu,hayajakukuta peke yako.ananipenda,but moyo wangu upo pengine kabisa.sasa madhara ya kwa huyu nkimwambia simpendi c atajiskia vibaya?.i have no option.am going to do it now.
  6. DERICK2000

    Hivi wanawake wote wako namna hii au?

    You mit have some behavior that makes them to see u in a bad way,thats why,they want to possess..jichunguze.
  7. DERICK2000

    Penda unapopenda kwanza.

    Ni kweli usemayo,upendo wahitajika pande zote,c upande mmoja tu.
  8. DERICK2000

    Penda unapopenda kwanza.

    Penda umpendae,usijilazimishe kupenda kumridhisha mtu hata siku moja.nimejikuta kujilazimisha kumpenda mtu.najuta.be aware..
  9. DERICK2000

    Open relationships....do they work?

    true love has no this..:smow:
  10. DERICK2000

    Mwanamke jiamini!acha ushirikina.

    Yeh,nahisi alikuwa mgeni kwa mambo hayo,hapo kwenye mimba ndo usiseme,lazima akukamatishe tu,ili utoe malezi na uoe..mwingine hata kutumia kinga hataki..na Gemu utapewa kila muda unaoutaka.c anajua ndo atakapo kamatika mtu.Kumbe kuna wajanja.
  11. DERICK2000

    Jinsi walivyo facebook

    hah..the confused ndo usiombe.
  12. DERICK2000

    Mwanamke jiamini!acha ushirikina.

    Yuko poa kabisa,though wanawake mnatofautiana.kuna wazuri,wazuri kiasi,na wakawaida,hiyo ipo hakuna atakae kataa.ila hajiamini.
Back
Top Bottom