Mwanamke jiamini!acha ushirikina.

DERICK2000

JF-Expert Member
Apr 8, 2012
203
35
Ni Gf wa kaka yangu,juzi juzi kaka yangu kamkuta na hirizi kiunoni mwake..kumuuliza kwa nini anafanya yote yale,jibu alilompa ni kwamba anajiona c mzuri cna kama wanawake wa rafik wa kaka yangu,hivyo kuvaa hirizi ni kawaida kwake kabla hawajaenda kwa gesti.Sasa juzi akajisahau kuivulia nyumban kwake,amefanya vile ili kumlinda bf wake asimpende mwingine..Mbaya zaidi kaka yangu alimuacha siku ile ile ingawa alimpenda,but kutojiamin kama ulivyo,its dangerous.Jiaminini wadada,hata kama huna vitu nakshi vya kumvutia mwanaume,Yupo atakae kupenda kweli,yupo mumeo.Hakuna alieumbwa peke yake.Ni hayo tu kwa jumapili ya leo.
 
kwani hirizi ina tofauti gani na 'mahanjunati ya kizungu' katika kulinda mapenzi?

Hirizi ni kiafrika zaidi na hii ni mapafyumu, kujiremba, kata mauno na sijui nini yote mahanjumati tu
 
Wewe unamuonaje; ni kweli mbaya au hajiamini. Lol. Am just curious.
Maana message nilopata hapa ni kuwa kuna uwezekano wanawake wabaya wakawa ndo washirikina. teh teh
Wakati wengine wanasema waso na elimu ndio washirikina... Je ana elimu gani?
 
duh,kaz kweli kweli! ushirikina ni hulka ya mtu haijalishi mbaya ama mzuri. . . na dhana hyo husababishwa na kutojiamini. nliwah kuckia wanaume wanasema hawaoi wanawake wazuri kwan wana usumbufu sasa hyo mbaya mbona anakosa kujiamini while wanaume hawapend wanawake wazuri?
 
kama hujiamini hata ukikata kipande cha nyama ya K... yako uweke kwenye chai umpe boyfriend wako kamwe usitegemee utapendwa. huyo mwanamke anatakiwa ajiamini, ajitunze, awe msafi, mstaarabu, majibu ya staha sio ya dharau, nguo safi pamoja na chupi sio yenye matobo matobo , anyoe sehemu husika anunike kidogo kama marash hana basi hata udi? mijasho mijasho no, nampa wiki mbili lazima watu watamuita na kumtongoza na sio kujirahisisha ovyo awe kama sitaki na taka mapozi kidogo siku mbili tatu ndio akubali, asikimbile kuomba omba vihela sijafnye umeridhika, hapo utawang'oa wengi saana.
 
Wewe unamuonaje; ni kweli mbaya au hajiamini. Lol. Am just curious.
Maana message nilopata hapa ni kuwa kuna uwezekano wanawake wabaya wakawa ndo washirikina. teh teh
Wakati wengine wanasema waso na elimu ndio washirikina... Je ana elimu gani?

elimu yake kubwa,form 6.ni mdada wa nyumbani.
 
kama hujiamini hata ukikata kipande cha nyama ya K... yako uweke kwenye chai umpe boyfriend wako kamwe usitegemee utapendwa. huyo mwanamke anatakiwa ajiamini, ajitunze, awe msafi, mstaarabu, majibu ya staha sio ya dharau, nguo safi pamoja na chupi sio yenye matobo matobo , anyoe sehemu husika anunike kidogo kama marash hana basi hata udi? mijasho mijasho no, nampa wiki mbili lazima watu watamuita na kumtongoza na sio kujirahisisha ovyo awe kama sitaki na taka mapozi kidogo siku mbili tatu ndio akubali, asikimbile kuomba omba vihela sijafnye umeridhika, hapo utawang'oa wengi saana.

Mimi namuona msafi mbona,kweli ni hulka yake 2.na my bro alimpenda but now,kamtupilia mbali.
 
duh,kaz kweli kweli! ushirikina ni hulka ya mtu haijalishi mbaya ama mzuri. . . na dhana hyo husababishwa na kutojiamini. nliwah kuckia wanaume wanasema hawaoi wanawake wazuri kwan wana usumbufu sasa hyo mbaya mbona anakosa kujiamini while wanaume hawapend wanawake wazuri?

Sasa hivi kachukua chombo cha ukweli,aman 2pu.nahisi akimuona atamwendea kwa mganga kabisa kujidhibiti na boyfnd ajae.
 
Wewe unamuonaje; ni kweli mbaya au hajiamini. Lol. Am just curious.
Maana message nilopata hapa ni kuwa kuna uwezekano wanawake wabaya wakawa ndo washirikina. teh teh
Wakati wengine wanasema waso na elimu ndio washirikina... Je ana elimu gani?

Yuko poa kabisa,though wanawake mnatofautiana.kuna wazuri,wazuri kiasi,na wakawaida,hiyo ipo hakuna atakae kataa.ila hajiamini.
 
kama hujiamini hata ukikata kipande cha nyama ya K... yako uweke kwenye chai umpe boyfriend wako kamwe usitegemee utapendwa. huyo mwanamke anatakiwa ajiamini, ajitunze, awe msafi, mstaarabu, majibu ya staha sio ya dharau, nguo safi pamoja na chupi sio yenye matobo matobo , anyoe sehemu husika anunike kidogo kama marash hana basi hata udi? mijasho mijasho no, nampa wiki mbili lazima watu watamuita na kumtongoza na sio kujirahisisha ovyo awe kama sitaki na taka mapozi kidogo siku mbili tatu ndio akubali, asikimbile kuomba omba vihela sijafnye umeridhika, hapo utawang'oa wengi saana.

Naona wewe umebobea. Good!
 
Ni Gf wa kaka yangu,juzi juzi kaka yangu kamkuta na hirizi kiunoni mwake..kumuuliza kwa nini anafanya yote yale,jibu alilompa ni kwamba anajiona c mzuri cna kama wanawake wa rafik wa kaka yangu,hivyo kuvaa hirizi ni kawaida kwake kabla hawajaenda kwa gesti.Sasa juzi akajisahau kuivulia nyumban kwake,amefanya vile ili kumlinda bf wake asimpende mwingine..Mbaya zaidi kaka yangu alimuacha siku ile ile ingawa alimpenda,but kutojiamin kama ulivyo,its dangerous.Jiaminini wadada,hata kama huna vitu nakshi vya kumvutia mwanaume,Yupo atakae kupenda kweli,yupo mumeo.Hakuna alieumbwa peke yake.Ni hayo tu kwa jumapili ya leo.

Na haya tu umemwambia huyo muhusika au umekuja kuyasemea humu jf? .....huyo dada ni memba humu ndani?
 
uyo wa hirizo amekamatwa tu, wako ambao wanachanjia, wapo wanaonijuiza etc ili ukigusa tu wanakufanya mlungule huwaachi ng'o hata ukiwafumania laivu....huyo wa hirizi naona alikuwa hajui vizuri wanavyofanya wenzie...mimi nilishawahi kuingia choo cha kike kipindi fulani, akaniendea kwa mganga kabisa, alafu akanidanganya kuwa nimemtia mimba akalia sana nimwonee huruma ili nitunze mima ile hela ya mimba awe anakula yeye na kununua fenicha...cha ajabu hakuwa na mimba kabisa, alikuwa na mimba feki, sasa nilishtuka kila nikikutana naye anataka gemu hata mara tano, na analazimisha mimi nijojoe ndani na mimi sitaki mimba yake....kumbe alikuwa alishaknywaga vidonge, sasa alipopenda kuzaa na mimi ikashindikana akawa anajaribu zali kwa mba tukifanya sana ndo mimba itaingia...hahaha, nilipokuja gundua, nilimfukuza kwa bastola...hadi leo hii akiniona mtaani anabadilisha njia tusikutane....wanawake wana siri sana, amini usiamini, usijemwamini mwanamke ambaye sio mkeo hata siku moja, hasa akijua kuwa umeshaona ndo kabisaaa atafanya njama za kukudanganya hadi akuchune..
 
uyo wa hirizo amekamatwa tu, wako ambao wanachanjia, wapo wanaonijuiza etc ili ukigusa tu wanakufanya mlungule huwaachi ng'o hata ukiwafumania laivu....huyo wa hirizi naona alikuwa hajui vizuri wanavyofanya wenzie...mimi nilishawahi kuingia choo cha kike kipindi fulani, akaniendea kwa mganga kabisa, alafu akanidanganya kuwa nimemtia mimba akalia sana nimwonee huruma ili nitunze mima ile hela ya mimba awe anakula yeye na kununua fenicha...cha ajabu hakuwa na mimba kabisa, alikuwa na mimba feki, sasa nilishtuka kila nikikutana naye anataka gemu hata mara tano, na analazimisha mimi nijojoe ndani na mimi sitaki mimba yake....kumbe alikuwa alishaknywaga vidonge, sasa alipopenda kuzaa na mimi ikashindikana akawa anajaribu zali kwa mba tukifanya sana ndo mimba itaingia...hahaha, nilipokuja gundua, nilimfukuza kwa bastola...hadi leo hii akiniona mtaani anabadilisha njia tusikutane....wanawake wana siri sana, amini usiamini, usijemwamini mwanamke ambaye sio mkeo hata siku moja, hasa akijua kuwa umeshaona ndo kabisaaa atafanya njama za kukudanganya hadi akuchune..

Yeh,nahisi alikuwa mgeni kwa mambo hayo,hapo kwenye mimba ndo usiseme,lazima akukamatishe tu,ili utoe malezi na uoe..mwingine hata kutumia kinga hataki..na Gemu utapewa kila muda unaoutaka.c anajua ndo atakapo kamatika mtu.Kumbe kuna wajanja.
 
hata mi hua najiuliza kitu hicho hicho..unasikia watu wameenda kwa waganga ili ampate mwanaume flani eh....ndio maana tumelaaniwa hivyo...
 
ni hirizi au shanga za kiunon?maana kuna shanga za kiunoni zinaitwa chachandu(watu wa pwani wanavaa),ambazo ni urembo tu wa mwanamke kuvaa kiunoni,ni kama siku hizi wanawake kuvaa cheni ya dhahabu kiunoni.zina rangi mbalimbali,na kila rangi ina maana yake.mf akivaa red,ujue siku mbaya n.k
 
Huo ni ujinga! kwa mtu anayejiamini na ambae anamtegemea Mungu kamwe hawezifanya huo ujinga. Ila believe me wanawake wengi sana wanafanya iyo kitu both wazuri/warembo na wale wasio warembo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom