DERICK2000
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 203
- 35
Ni Gf wa kaka yangu,juzi juzi kaka yangu kamkuta na hirizi kiunoni mwake..kumuuliza kwa nini anafanya yote yale,jibu alilompa ni kwamba anajiona c mzuri cna kama wanawake wa rafik wa kaka yangu,hivyo kuvaa hirizi ni kawaida kwake kabla hawajaenda kwa gesti.Sasa juzi akajisahau kuivulia nyumban kwake,amefanya vile ili kumlinda bf wake asimpende mwingine..Mbaya zaidi kaka yangu alimuacha siku ile ile ingawa alimpenda,but kutojiamin kama ulivyo,its dangerous.Jiaminini wadada,hata kama huna vitu nakshi vya kumvutia mwanaume,Yupo atakae kupenda kweli,yupo mumeo.Hakuna alieumbwa peke yake.Ni hayo tu kwa jumapili ya leo.