Recent content by Dereva wa rais

  1. D

    Nimekamatwa kwa kukutwa nachezesha Playstation.

    Pole sana mkuu! Mm pia nlshawah kukutwa na tukio kama hlo la kukamatwa eti nachezesha ps watoto wadogo under 18 na nikapewa kosa jngne kua eti ps ni mchezo wa kamal hvyo inabd niwe na vbali vya osha, tra, na bodi ya michezo ya kubahatsha pia nkaambiwa nafanya wanafunzi wafeli wakat mda wangu wa...
  2. D

    Kwanini kozi fupi za madereva NIT ni gharama sana?

    hata kama ni chuo bora hzo laki nne mwez mmoja ni kubwa sana watanzania weng hawana uwezo wapunguze kdogo
  3. D

    Kwanini kozi fupi za madereva NIT ni gharama sana?

    sijajiita mnyonge soma vizuri lakn pia tambua hata kama mimi na wewe sio wanyonge ila nchi hii wanyonge wapo afu ni wengi.
  4. D

    Kwanini kozi fupi za madereva NIT ni gharama sana?

    Kama kichwa cha habari kinavyo eleza hapo juu! Hivi hiki chuo si serikali jaman? Kozi ya mwezi mmoja laki nne. Wanyonge wanasaidiwaje maana wengi hawana uwezo huo wa kumudu hzo gharama.
Back
Top Bottom