Vifaranga wangu 20 wa miezi miwili wanatoa kinyesi laini cheupe na wanakosa nguvu ya kusimama, miguu inalegea pia wamezubaa, naombeni ushauri ni dawa gani inafaa niwanusuru , maana mpaka sasa kafa mmoja na watano wanahali mbaya hawali kabisa, pia wanatoa kinyesi chenye maji maji.
Kama kichwa kinavyojieleza, nimelima shamba la mahindi kama ekari mbili maeneo ya Mufindi Iringa , mahindi yako kwenye hatua ya kuanza kuchanua.
Sasa Leo nimeenda kuangalia nimekuta jana wameshindia kuvunja vunja yale yaliyokuwa yameanza kuweka mahindi karibia shamba lote, naombeni mnisaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.