Kuna haja gani ya kuunda tume ya kijaji wakati mnasema ushahidi mnao wa kutosha kwanini msiwasilishe huo ushahidi mlio nao kwenye vyombo husika? Mnacho ogopa ni nini?
Sasa ndugu zangu chukulia ni mtoto wako na wewe ni baba unamwambia mtoto usifanye hivi yeye anafanya hizo si ni dharau? Kinachofuata ni nini zaidi ya kumpa kichapo!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.