Kwa jicho LA kawaida utamuona ngosha ila kwa mtazamo wa fashion utagundua jamaa amewaka sana amependeza aan kwan kwenye fashion kuna kitu ambcho tunakzngatia wachache ambcho knaitwa FOCUS OF ATTENTION yaan uvae vipi ili uteke umakini was watu hata kama mkiwa mmeongozana watu zaidi ya kumi hapo...
Iko hivii Vans imeikuta All Star na itapita na kuiacha All Star ikitamba na pia kama wew ni kabwela kama Mimi nikupe siri ya kuchagua nguo na viatu jaribu kuchagua kitu ambacho kinadumu na pia hakipitwi na wakati yaan kila siku bado kipo kwenye form tu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.